Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Acha uwongo ww.... Maduka ya nguo na viatu ndo mengi mule.... May be you had a tight budget coz gharama zenyewe zipo juu.Tuache utani.. Unless mtu hujawahi kufanya manunuzi kwenye hizo malls mbili. Rock City Mall ipo so limited.. Mfano: Mtu unahangaika mall nzima kutafuta nguo na viatu vya watoto, halafu wauzaji wa humo wanakuelekeza uende Salma Cone utapata nguo nzuri.
Shiiit!!!