Mlima Sinai uko Saudi Arabia?

Mlima Sinai uko Saudi Arabia?

Sinai iko Misri ya leo, sasa kama eneo hilo kipindi hicho ilijulikana kama Arabia, is open to debate.
 
... kwani ukiwa upo Misri au Saudi Arabia ya leo inaongeza au kupunguza nini? Ya nini kujisumbua na vitu irrelevant? Basi let's assume uko Saudi Arabia; then?

Issue ni kwamba kwa wanahistoria huwezi ukasema Mkwawa alikuwa mzungu kisha wakubali kibubusa ilihali wanasoma kuwa wahehe ni weusi, lazima watafute ushahidi. Kwa sababu kama Mkwawa sio mzungu basi ina maana kuna mtu anaiba historia ya mtu mwingine.

Hii mada aliyoiweka mleta uzi sio ya kipuuzi kama unavyodhania wewe. Mlima Sinai unatawala imani ya mabilioni ya Wanaadamu kwa hiyo huwezi kupuuza mahali ulipo kama unavyodhani. Isitoshe kama Mlima uliyopo Sinai Peninsula ya Misri sio Mlima alioupanda Nabii Musa maanake ni kwamba watu wanaofurika huko kutembea kiimani basi ni kama wanaporwa fedha zao buree. Imagine mtalii apandishwe Mlima Kenya kwa kuambiwa ndiyo Kilimanjaro.

Watafiti waliofikia uamuzi huu kwanza wote ni watu walioshiba imani ya dini. Kwa maana hiyo wasingeona tija ya kuhamisha Mlima toka Sinai peninsula ya Misri. Wameongozwa na kutumia akili na imani. Kwa hiyo unapouliza; ".... kama upo Saudia THEN??"; ni kwamba kwa mwenye kuongozwa na Biblia kama kitabu chake cha Imani, data na findings hizi mpya zinamzidishia ithibati kuwa biblia imesimulia kitu cha KWELI na hivyo basi kumpa nguvu zaidi ya imani yake. Hii ya mwisho haiwezi kuwa muhimu kwako ikiwa imani yako ni haba!!.
 
Issue ni kwamba kwa wanahistoria huwezi ukasema Mkwawa alikuwa mzungu kisha wakubali kibubusa ilihali wanasoma kuwa wahehe ni weusi, lazima watafute ushahidi. Kwa sababu kama Mkwawa sio mzungu basi ina maana kuna mtu anaiba historia ya mtu mwingine.

Hii mada aliyoiweka mleta uzi sio ya kipuuzi kama unavyodhania wewe. Mlima Sinai unatawala imani ya mabilioni ya Wanaadamu kwa hiyo huwezi kupuuza mahali ulipo kama unavyodhani. Isitoshe kama Mlima uliyopo Sinai Peninsula ya Misri sio Mlima alioupanda Nabii Musa maanake ni kwamba watu wanaofurika huko kutembea kiimani basi ni kama wanaporwa fedha zao buree. Imagine mtalii apandishwe Mlima Kenya kwa kuambiwa ndiyo Kilimanjaro.

Watafiti waliofikia uamuzi huu kwanza wote ni watu walioshiba imani ya dini. Kwa maana hiyo wasingeona tija ya kuhamisha Mlima toka Sinai peninsula ya Misri. Wameongozwa na kutumia akili na imani. Kwa hiyo unapouliza; ".... kama upo Saudia THEN??"; ni kwamba kwa mwenye kuongozwa na Biblia kama kitabu chake cha Imani, data na findings hizi mpya zinamzidishia ithibati kuwa biblia imesimulia kitu cha KWELI na hivyo basi kumpa nguvu zaidi ya imani yake. Hii ya mwisho haiwezi kuwa muhimu kwako ikiwa imani yako ni haba!!.
Naona Saudi anataka kupora hela za misri.
 
saud arabia hana shida na pesa ya mmisri,kwanza wao ndo wanaibeba misri kiuchumi
 
Naona Saudi anataka kupora hela za misri.
hhhahahahah, mkuu hapana. Ila watafiti wapya wanaosema Mlima Halisi alioupanda Nabii Musa upo Saudia Arabia hoja zao ni kama ifuatavyo:

Mlima huu (Jabal Lawz) upo sambamba na uwazi wa Nuweba mahali pekee penye beach yenye uwezo na uwazi wa kubeba watu millioni mbili (inakisiwa waliomfuata na Nabii Musa walikaribia hii namba) ambao wangeweza kukusanyika ili kuvuka bahari kama biblia inavyosimulia.
1564991907354.png

  • Kuna tafiti za chini ya bahari ambazo zinaonyesha hapo Nuweba kuna mabaki ya vigurudumu vya vigari vya wamisri na kuna kama aina ya tuta chini ya bahari ambalo waisrael wangeweza kulitumia na kuvuka kama maji yakipungua
  • 1564992154257.png
  • Mlima huu ndio mrefu kuliko yote maeneo hayo na una weusi kwenye sehemu ya juu ambayo inahisiwa imetokana na ule moto mkali na moshi ulioufunika wakati wana wa Israel wametaka Mungu ajitokeze wamwone badala yake mlima huu ulifunikwa na moto mkali uliowafanya wazirai
1564992339588.png


1564992440039.png

  • Jirani na mlima huu (Jabal Lawz) lipo Jabali wanaloita wenyeji kama (Jabal Horeb) ambalo linasimuliwa ndio liliposuka baada ya Nabii Musa kulipiga na fimbo yake na likaanza kutoa maji
1564992628004.png

  • Ukiteremka huu mlima inasemekana bado kunaonekana maeneo yaliyojengwa kuhifadhi ng'ombe na wanyama waliotolewa kama sadaka na wana wa Israel kama ilivyoelezwa kwenye biblia
  • Kwenye mlima huu pia linapatikana pango ambalo watafiti wanahisi ndiyo pango alilotumia Nabii Elijah alipoenda kuuzuru huu Mlima enzi zake kitu ambacho hamna kule kwenye Peninsula ya Sinai nchini Misri
  • Kwenye miamba ya mlima huu kunapatikana michoro mingi na huku baadhi ikiwa na dalili ya na maana za kiyahudi hivyo kuashiria kuwa walikaa wayahudi hapo
  • 1564992722797.png

  • Wakazi wa eneo hilo tangu enzi na enzi wamekuwa wakiuita huu mlima kwa kiarabu kwa jina la Jabal Musa.
 

Attachments

  • 1564991753067.png
    1564991753067.png
    428 KB · Views: 22
kama amri kumi mussa alipokea akiwa ashavuka bahari ya sham basi probably mlima sinai uko saudia ya sasa hivi!! ila kama amri kumi alizipokea before hawajavuka bahari basi upo misri
Argument imekwenda shule hii
 
Sinai zote mbili ni baada ya kuvuka bahari
Katika Sinai hizo mbili ni MOJA tuu iliyopo Midian-eneo alilokimbilia Musa alipomuua Mmsiri. Akiwa Midian (Midian ipo Saudia ya leo), alipotokewa na M/Mungu kwa aina ya moto ndani ya kichaka, Musa aliambiwa atajawaleta wana wa Israel wamwabudu Mungu katika MLIMA huo (Exodus 3:12).
 
watu wasichanganye mfereji wa suez ambao ni man made na bahari ya sham (red sea)
 
watu wasichanganye mfereji wa suez ambao ni man made na bahari ya sham (red sea)
Sawa kabisa mkuu. Ni Mlima uliopo Saudia Tuu ambao upo eneo lililoitwa Midian. Infact hata Mtume Paul alitaja kuwa mlima huu uko ARABIA (Wagalatia 4:25).
 
Mlima Sinai uko Kenya kwa mujibu wa safari za wale watu wa kale zilivyokua zikitokea Cush ambayo ni Ethiopia na walipanda uelekeo wa Kenya ya leo katika milima Sinai..mzungu na mwarabu ni fedhuri tu,kuvutana kwao kulituletea mkanganyiko
 
Mlima Sinai uko Kenya kwa mujibu wa safari za wale watu wa kale zilivyokua zikitokea Cush ambayo ni Ethiopia na walipanda uelekeo wa Kenya ya leo katika milima Sinai..mzungu na mwarabu ni fedhuri tu,kuvutana kwao kulituletea mkanganyiko
waliotokea Cush kuufata Mlima Sinai Kenya walivuka bahari gani na wapi? Kisha ukiwatusi watu kwa rangi zao, ni kipi kitawazuia wao pia kuitusi rangi yako??
 
Back
Top Bottom