Mlima Sinai uko Saudi Arabia?

Mlima Sinai uko Saudi Arabia?

Mlima Sinai (kwa Kiarabu: جبل موسى jabal Musa = mlima wa Musa) ni mlima wenye kimo cha mita 2,283 juu ya UB katika eneo la kusini la Rasi ya Sinai nchini Misri. Unajulikana pia kwa jina la Mlima Horeb au kwa jina lake la Kiarabu kama Gebel Musa(matamshi ya Kimisri) au Jabal Musa(matamshi ya Kiarabu sanifu).

Mlima Sinai unaaminiwa tangu kale kuwa ndio mahali ambako Musa alipokea amri kumikutoka kwa Mungu wakati wa Wanaisraelikuacha utumwa wa Misri.

Kilele cha mlima kina kanisa la Waorthodoksilenye asili ya jengo la Kaisari Justinianol la mwaka 532 na pia msikiti wa karne ya 12.
 
Sisi hata tubishe au tukubali hatujui lolote zaidi ya kufuata mkumbo au kusoma tu.
Kuna watu na taaluma zao na wanazitendea haki hizo elimu kwa kuchunguza na kuingiza hela nyingi kwa tafiti
Mimi siwezi kubisha bali ntakuwa mfuatiliaji tu
Wataalamu wetu wanaishia kuunga mkono siasa tu


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Mlima Sinai (kwa Kiarabu: جبل موسى jabal Musa = mlima wa Musa) ni mlima wenye kimo cha mita 2,283 juu ya UB katika eneo la kusini la Rasi ya Sinai nchini Misri. Unajulikana pia kwa jina la Mlima Horeb au kwa jina lake la Kiarabu kama Gebel Musa(matamshi ya Kimisri) au Jabal Musa(matamshi ya Kiarabu sanifu).

Mlima Sinai unaaminiwa tangu kale kuwa ndio mahali ambako Musa alipokea amri kumikutoka kwa Mungu wakati wa Wanaisraelikuacha utumwa wa Misri.

Kilele cha mlima kina kanisa la Waorthodoksilenye asili ya jengo la Kaisari Justinianol la mwaka 532 na pia msikiti wa karne ya 12.

Ndugu yangu sababu kubwa za hawa waliotengeneza hizi video ni kuuonyesha ulimwengu kuwa Mlama Sinai wa kweli siyo huo ulioko Misri ya Leo bali huu ambao uko upande wa Saudia, maana huu ulioko Saudia imeonyesha unaendana vyema na maelezo yaliyomo katika kitabu ch Exodus kuliko huu wa Misri.

Ifahamike kuwa Enzi za Farao sehemu ya ardhi ya Saudia ya leo ilikuwa kwenye milki ya Farao na bado ilijulikana kama Misri pia.

Hata huu ulioko Saudia karibu na bahari ya Sham wenyeji wanauita Jabal Musa
 
... kwani ukiwa upo Misri au Saudi Arabia ya leo inaongeza au kupunguza nini? Ya nini kujisumbua na vitu irrelevant? Basi let's assume uko Saudi Arabia; then?
 
... exactly, this is what I was also thinking!
... kwani ukiwa upo Misri au Saudi Arabia ya leo inaongeza au kupunguza nini? Ya nini kujisumbua na vitu irrelevant? Basi let's assume uko Saudi Arabia; then?

udadisi tu mkuu.
Tatizo nyinyi maatheist hamna interest ya kujua mambo ya biblia maana hamyaamini, mnasema ni stori tu za kufikirika, tuachie sisi wenye kufuata bible tujue alama muhimu zilizomo katika bible!
 

Mkuu, ungekuwa unaamini na kuipenda bible usingeuliza swali kama hili!.

Yaani kwako wewe kujua vitu kama sanduku la agano lilipo, Golgotha ni wapi, Mlima sinai halisi ni upi na vitu kama hivyo huoni kuwa ni muhimu kwa sababu hupendi bible, sisi wengine tunapenda kujua kuhusu mambo haya kwa sababu tunapenda bible

Tuachie sisi bible yetu wewe baki na mambo unayoyapenda
 
sujawahi kuviamini vitu vinavyoitwa majina kwa kuanzia na "The Real Kitu Fulani" huwa havina huo u-Real.
 
Tusema upo Makka!
Then????

na wewe tengenezea documentary ugunduzi wako mkuu!.

Unaonaje kuhusu documentary ya Mwinjilisti Ron Wyatt kuhusus ugunduzi wake kuwa the real mount Sinai iko Saudia au na wewe ni Atheist huna interest na mambo haya?
 
Back
Top Bottom