kama amri kumi mussa alipokea akiwa ashavuka bahari ya sham basi probably mlima sinai uko saudia ya sasa hivi!! ila kama amri kumi alizipokea before hawajavuka bahari basi upo misri
nasubiri maelezo zaidi mkuu niko tayari kujifunza hapaMlima Sinai (wa Egypt) pia ni baada ya kuvuka bahari ya Sham
Na huu wa Saudia ni baada ya kuvuka bahari ya Sham
Bahari ya Sham ina matawi mawili, moja ipo kwenye territory ya Misri, tawi jingine lipo Saudia
View attachment 1055275
Kwani hujuikama eneo la Sinai ng'ambo ya pili ya bahari ya Shama ni sehemu ya Misri? Mbona hamtaki hata kujishughulisha na kujua jiografia ndogo kiasi hicho. hata uku-google tu unapata ramani yote ya Misri. Sinai ipo upende wa pili wa Bahari na sehemu ya Misri miaka yote. Ramani hiyo hapo.kama amri kumi mussa alipokea akiwa ashavuka bahari ya sham basi probably mlima sinai uko saudia ya sasa hivi!! ila kama amri kumi alizipokea before hawajavuka bahari basi upo misri
nashukuru mkuuKwani hujuikama eneo la Sinai ng'ambo ya pili ya bahari ya Shama ni sehemu ya Misri? Mbona hamtaki hata kujishughulisha na kujua jiografia ndogo kiasi hicho. hata uku-google tu unapata ramani yote ya Misri. Sinai ipo upende wa pili wa Bahari na sehemu ya Misri miaka yote. Ramani hiyo hapo.
View attachment 1055878
NakaziaMkuu Mlima sinai aka Jabal Mussa upo Egypt Misri. Jitahidi assignment usikosee hio
Yawezekana wanao mwingine ila Unaofahamika ni wa MisroWachunguzi wanashaka kuwa Mlima Sinai wa kale haupo Misri ya leo [Misri ya zamani ilikuwa inatwaa hdi maeneo ya Saudia ya Leo]
Uislam unakupofusha maana naamini umesoma historia ya Musa na wana wa Israil na Amri kumi ila saivi unajivika blind foldSisi hata tubishe au tukubali hatujui lolote zaidi ya kufuata mkumbo au kusoma tu.
Kuna watu na taaluma zao na wanazitendea haki hizo elimu kwa kuchunguza na kuingiza hela nyingi kwa tafiti
Mimi siwezi kubisha bali ntakuwa mfuatiliaji tu
Wataalamu wetu wanaishia kuunga mkono siasa tu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kwani nimesema siaminiUislam unakupofusha maana naamini umesoma historia ya Musa na wana wa Israil na Amri kumi ila saivi unajivika blind fold
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafahamu mengi ndani ya bible. Huo mlima hautokusadia kitu. Be a good personMkuu, ungekuwa unaamini na kuipenda bible usingeuliza swali kama hili!.
Yaani kwako wewe kujua vitu kama sanduku la agano lilipo, Golgotha ni wapi, Mlima sinai halisi ni upi na vitu kama hivyo huoni kuwa ni muhimu kwa sababu hupendi bible, sisi wengine tunapenda kujua kuhusu mambo haya kwa sababu tunapenda bible
Tuachie sisi bible yetu wewe baki na mambo unayoyapenda
Nafahamu mengi ndani ya bible. Huo mlima hautokusadia kitu. Be a good person
Ukiutafuta sana ukweli mwishowe utaujua ukweli na utakuwa huru. ..so be careful imani yako isipoteeSi vibaya ukabaki na vinavyokusaidia nami nikabaki na ninavyovipenda!, ila asante kwa ushauri wako though, mada inaendelea
Ukiutafuta sana ukweli mwishowe utaujua ukweli na utakuwa huru. ..so be careful imani yako isipotee
Like nabii titoSasa nikiujua ukweli si ndo vizuri au wewe hupendi watu wajue ukweli?, basi utakuwa mchoyo sana wewe
Musa alipokea amri baada ya kutoka Misri, baada ya kuvuka bahari ya shamuMlima Sinai (kwa Kiarabu: جبل موسى jabal Musa = mlima wa Musa) ni mlima wenye kimo cha mita 2,283 juu ya UB katika eneo la kusini la Rasi ya Sinai nchini Misri. Unajulikana pia kwa jina la Mlima Horeb au kwa jina lake la Kiarabu kama Gebel Musa(matamshi ya Kimisri) au Jabal Musa(matamshi ya Kiarabu sanifu).
Mlima Sinai unaaminiwa tangu kale kuwa ndio mahali ambako Musa alipokea amri kumikutoka kwa Mungu wakati wa Wanaisraelikuacha utumwa wa Misri.
Kilele cha mlima kina kanisa la Waorthodoksilenye asili ya jengo la Kaisari Justinianol la mwaka 532 na pia msikiti wa karne ya 12.