Mlima Kilimanjaro waenguliwa ‘Maajabu ya Dunia’

Mlima Kilimanjaro waenguliwa ‘Maajabu ya Dunia’

TTB and the Ministry of Tourism you have to be held accountable for this. I know what you did, I know every recklessness and irresponsibility you did to diminish chances for Kilimanjaro. You may remember an NGO [Save Mt. Kilimanjaro] that followed you since 2010, begging to be endorsed as official campaigners for Kilimanjaro in the contest, huh??

Kishe, you know what you did, huh? Shame on you all. Tanzania have lost a lot because of you.

Fait accompli.
 
hivi hata mkuu regnald mengi alishindwa kufanya taratibu za kupiga kura kwa wingi
ili kuuokoa mlima kilimanjaro kweli,
angatoa hata hela ya mauzo ya maji ya kilimanjaro ya siku moja ili zifanye kazi ya kupiga kurai, shame on us.
 
Sikupiga kura kwasababu mlima kilimanjaro ungeshinda ccm wangejisifu kuwa wamewezesha. Hata hivyo waliokuwa wanahamasisha watu kupiga kura niliwaona kama machizi maana watanzania hawawezi kushindana na watu kutoka nchi za Asia, ulaya au hata amerika kwa matumizi ya internet kwahiyo hata kama watanzania wote wanaotumia internet wangepiga kura bado wasingeshinda maana ni wachache mno. CCM wajifunze kuwa wanatakiwa kujenga miundombinu ya tehama kwa raia wote, sio kukurupuka tu na kutimiza wajibu wa kuhamasisha watu bila tathmini.
 
nimefurahi sana ulivoengulia nlima kilimanjaro...
mkuu nina wasiwasi na uraia wako, hadi unipe sababu za msingi japo hata mimi kwa sasa kuna nchi nazipenda kuliko Tanzania hasa ukilinganisha na utawala tulionao, na woga wa wananchi.
 
toka mwaka 2009 ttb walikua wapi mbona hawa watu wanapenda kututendesha dhambi tuanze kulaumu hapa hadi tumkosee Mungu hv wana ubinadamu kweli ndani yao by the way mlima kilimanjaro tayari ni maajabu tosha kwani ni mlima mrefu Africa hivyo haina haja hata ya kupiga hizo kura
 
Back
Top Bottom