VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Eti,kwenu wenzangu na mie (mliosoma shule za wavulana watupu au wasichana watupu),mlikuwa mnapata wapi 'huduma'?
Huduma ya chakula tulikua tunabwalo letu la misosi... nadhani nmekujibu
Tulikuwa tunaandaliwa Disco na Sekondari ya wavulana.
Halafu Headmistress kesho yake anatuuliza,
"Kusoma hamjui,hata picha hamuoni"
au anatuambia "Kesho Headgirl hakikisha taa za Super Hall haziwashwi wanangu wanaletewa wachumba"
akitamka kauli hiyo tu,ujue kesho tunaletewa mapatna.
Tunarukaje!!
jibu zuri sana mkuuJunior. CuxHuduma ya chakula tulikua tunabwalo letu la misosi... nadhani nmekujibu
dogooo. . . umeua!!!!!
Junior. Cux,kindly read between lines. Nilimaanisha mambo yetu yaleee-Mzee aweza kujitetea
jibu zuri sana mkuuJunior. Cux
Eti,kwenu wenzangu na mie (mliosoma shule za wavulana watupu au wasichana watupu),mlikuwa mnapata wapi 'huduma'?
Tulikuwa tunaandaliwa Disco na Sekondari ya wavulana.
Halafu Headmistress kesho yake anatuuliza,
"Kusoma hamjui,hata picha hamuoni"
au anatuambia "Kesho Headgirl hakikisha taa za Super Hall haziwashwi wanangu wanaletewa wachumba"
akitamka kauli hiyo tu,ujue kesho tunaletewa mapatna.
Tunarukaje!!
Debe la disco lights za rangirangi za kubwinyabwinya. Security lights off! Wengine ndani ya hall wengine nje in pairs dancing zero distance style.
test tubes zilikuwa zinapotea sana lab!