figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
dah!..umenikumbusha mbali. Ngoja nitafute notebook yangu aisee. miaAcha tu mkuu.Afu nilikuwa kiongozi wa starehe hapo shuleni,basi kila mwanzo wa mwezi lazima nikaongee na uongozi wa starehe wa shule ya Wavulana hapo mjini.Yani ni full burudani,full kujiachia.Mkimaliza disko saa 8 usiku,mshapeana mpaka contact.Ila BOARDING SCHOOL raha sana.