Mlikuwa mkiitaje enzi zenu?

Mi nilikuwa mkali wa kuendesha ma bearing kwenye mteremko wa Mwanshinga

Bwahahahahhh!
We chiboko, hats off!
Hapo pekundu, umeniacha hoi, Nadhani ni miaka ile ambapo pale kwenye kilima (juu kidogo ya transfoma) palikuwa na kokoto na kakipande ka lami kidogo upande mmoja, possibly mpaka mitaa ya shule ya Maanga. Kile kilima kimeua na kujeruhi sana vijana, hasa wakiwa wameziachia baiskeli zao kutoka Makunguru.
Thanks Bujibuji kwa kumbukumbu hii muhimu.
 
umenikumbusha ma BERINGI Isanga stendi ya Chunya early 80s

Bwahahahahhh.
Walewwale. Mnachukua sukani za magari mnapigilia kwa misumari kwenye beringi zenu ili muendeshe kwa urahisi kwenye kona, often without brakes! Ni mteremko upi unaongelea wewe, ule wa kuja Uwanja wa Sokoine (kutoka Isanga) ama ule wa kwenda Makunguru (kutoka Isanga).
Watu bwana, kumbe mmeficha vipaji namna hii?
 
Mpira wa madaso, miaka ya 80 hadi 90 nikiwa nasoma Kiloleli, Masanza kona nimecheza sana. Nilikuwa kipa mkali mno, nisipocheza timu inafungwa mvua ya magoli
 
nakumbuka niliiba kinyeko cha kaka, nikaenda kuchezea mdunguano, halafu tukanyang'anywa na watoto wa uswahilini, alinidundaje?
 
Back
Top Bottom