Dfour Member Mar 18, 2010 47 10 May 2, 2012 #1 Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji"
Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji"
O old traford Member Mar 10, 2012 35 1 May 2, 2012 #4 haaaaahhaaaa anaweza akasoma mpaka asbh asirudi
Endangered JF-Expert Member Sep 22, 2011 922 228 May 2, 2012 #8 teh teh, hako kalevi kana akili lakini.
Wingu JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,318 401 May 3, 2012 #10 weee unamsema mwenyekiti wa tume yetu ehhh
mgodi JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,780 1,845 May 3, 2012 #11 Shine said: Huyu mlevi lazima atakuwa mwanasiasa! Click to expand... Tena atakuwa anacheo kikubwa sana kwenye wizara ya nishati na madini.
Shine said: Huyu mlevi lazima atakuwa mwanasiasa! Click to expand... Tena atakuwa anacheo kikubwa sana kwenye wizara ya nishati na madini.
S suri JF-Expert Member Apr 9, 2012 404 260 May 3, 2012 #12 Endangered said: teh teh, hako kalevi kana akili lakini. Click to expand... kama yule jamaa aliekuwa anapiga kwangu kwako na mke wa yule kinyozie
Endangered said: teh teh, hako kalevi kana akili lakini. Click to expand... kama yule jamaa aliekuwa anapiga kwangu kwako na mke wa yule kinyozie
Y yaveni Member Apr 3, 2012 66 32 May 3, 2012 #13 Dfour said: Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji" Click to expand... Walevi wana akili sana , asiye mnywaji hawezi jibu hvyo.
Dfour said: Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji" Click to expand... Walevi wana akili sana , asiye mnywaji hawezi jibu hvyo.