kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Baada ya kulewa njwiii na rafiki yake mpya aliempata bar, mlevi akamkaribisha rafiki mpya apaone kwake. Walipofika mwenyeji akaanza intro,'Unaona makochi yale, yale yangu, hiyo TV yangu, njoo jikoni..... unaona hilo oven hilo langu, twende chumbani......unaona hicho kitanda, kile changu, na yule mwanamke mzuri kitandani mke wangu. Na yule jamaa wamelala nae yule MIMI, haya twende stoo......"