Mlevi mwenye confidence.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
(MGAMBO)>:Aroo,kwanini unakunywa gongo mchana mchana tena hadharani?,hii nchi ya babako? (MLEVI)>:Na wewe kwa nini unanifokea mchana mchana tena hadharani,hii nchi ya babako? (MGAMBO)>Mh! si bure,mbona anajiamini namna hii,ngoja nimwache niondoke zangu,asije akawa mtoto wa mtu mzito serikalini.
 
Mfano huu ni allegory ya namna watu wa dola wasivyojiamini katika utendaji wao na jinsi wakubwa wanavyougua maradhi inaitwa NEPOTISM:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…