Mlevi amkojolea mama mkwe akidhani ni mkewe

Mlevi amkojolea mama mkwe akidhani ni mkewe

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Mlevi mmoja maarufu kwa jina la Kanzaga anayeishi ktk mji mdogo wa Runzewe uliopo ktk barabara kuu ya Kahama to Rwanda leo majira ya saa 5 asubuhi amejikuta akifanya tukio ambalo hakutarajia.

Kanzaga ambaye kwa muda mrefu amekuwa kila akilewa anampiga na kumnyanyasa mkewe leo aliwasili nyumbani kwake mida ya saa 5 akiwa katoweka nyumbani kwa zaidi ya wiki nzima,alipofika nyumbani kama kawaida yake aliingia ndani na kumkuta mama mkwe wake akiwa kajilaza kwenye mkeka sebuleni,Kanzaga akang'aka "wewe mwanamke umelala badala ya kunipikia sasa nakumiminia dawa uendelee kulala zaidi"ndipo akachojoa suruali yake na kuanza kumkojolea mama mkwe wake akidhani ni mkewe kama alivyozoea kumtesa,ile mkojo unashuka tu,mama wa watu akashtuka na kuamka,kuona sura ya mzaa chema wake aliyezoea kumtesa Kanzaga akatimua mbio kali huku dudu lake likiwa nje ya suruali.

Navyoandika nipo Runzewe hadi sasa Kanzaga hajarudi nyumbani na hajulikani alipo.
 
Kama alikuwa amelewa kiasi hicho amewezaje kukimbia? Huyo ni mwongo. Alikusudia baada ya kumkosa mkewe.
 
mh.kanzaga noma. Hivi wanaume wa hivi wapo?
 
Hata kama mama mkwe alikuwa anapewa malalamiko na kuyapuuzia sasa mama mkwe amepata ushahidi kamili, hakuna mume hapo wawaachanishe ndio suluhisho
 
Hata kama mama mkwe alikuwa anapewa malalamiko na kuyapuuzia sasa mama mkwe amepata ushahidi kamili, hakuna mume hapo wawaachanishe ndio suluhisho
Mkuu ndoa za dizaini hii huwa hawakubali kuachanishwa tena ukilazimisha basi baada ya muda mfupi hurudiana na kuwapa ubaya walio waachanisha , wengine hufikia kusema kuwa wanaonewa gele.
 
Mkuu ndoa za dizaini hii huwa hawakubali kuachanishwa tena ukilazimisha basi baada ya muda mfupi hurudiana na kuwapa ubaya walio waachanisha , wengine hufikia kusema kuwa wanaonewa gele.


Hakuna kazi nzito kama kuishi na mlevi. Nawahurumia sana wanawake wanaoishi ni mijamaa kama hii.
 
Hakuna kazi nzito kama kuishi na mlevi. Nawahurumia sana wanawake wanaoishi ni mijamaa kama hii.
Wanatia huruma lkn wao hawajihurumii hata kidogo sana sana ukiwaonyesha wanavyokua abused watakuchukia na kukwambia unawaletea mambo ya kizungu. Mara nyingi anaeishi na mtu dizaini hii huwa nae anaathirika kisaikolojia.
 
Kama alikuwa amelewa kiasi hicho amewezaje kukimbia? Huyo ni mwongo. Alikusudia baada ya kumkosa mkewe.



Alikusudia kufanya hivyo ila mamkwe wake alipo amka alitaka amwoneshe kuwa si kila mwanamke anachezewa. Alipoona usoa wa kazi akakimbilia alipokuwa all the time.
Subirini, zikiisha mfukoni, njaa itamleta nyumbani tu. Ndo walivyo haooo:confused2::confused2:
 
Wanatia huruma lkn wao hawajihurumii hata kidogo sana sana ukiwaonyesha wanavyokua abused watakuchukia na kukwambia unawaletea mambo ya kizungu. Mara nyingi anaeishi na mtu dizaini hii huwa nae anaathirika kisaikolojia.


Inawezekana ikakawa kweli maana katika hali ya kawaida ni vigumu kuvumilia vitimbi vya walevi.
 
Tyta utusaidie kuthibitsha hii taarifa!
 
Last edited by a moderator:
Mlevi mmoja maarufu kwa jina la Kanzaga anayeishi ktk mji mdogo wa Runzewe uliopo ktk barabara kuu ya Kahama to Rwanda leo majira ya saa 5 asubuhi amejikuta akifanya tukio ambalo hakutarajia.

Kanzaga ambaye kwa muda mrefu amekuwa kila akilewa anampiga na kumnyanyasa mkewe leo aliwasili nyumbani kwake mida ya saa 5 akiwa katoweka nyumbani kwa zaidi ya wiki nzima,alipofika nyumbani kama kawaida yake aliingia ndani na kumkuta mama mkwe wake akiwa kajilaza kwenye mkeka sebuleni,Kanzaga akang'aka "wewe mwanamke umelala badala ya kunipikia sasa nakumiminia dawa uendelee kulala zaidi"ndipo akachojoa suruali yake na kuanza kumkojolea mama mkwe wake akidhani ni mkewe kama alivyozoea kumtesa,ile mkojo unashuka tu,mama wa watu akashtuka na kuamka,kuona sura ya mzaa chema wake aliyezoea kumtesa Kanzaga akatimua mbio kali huku dudu lake likiwa nje ya suruali.

Navyoandika nipo Runzewe hadi sasa Kanzaga hajarudi nyumbani na hajulikani alipo.

ha ha ha ha ha! eti weka picha!
 
Mlevi mmoja maarufu kwa jina la Kanzaga anayeishi ktk mji mdogo wa Runzewe uliopo ktk barabara kuu ya Kahama to Rwanda leo majira ya saa 5 asubuhi amejikuta akifanya tukio ambalo hakutarajia.

Kanzaga ambaye kwa muda mrefu amekuwa kila akilewa anampiga na kumnyanyasa mkewe leo aliwasili nyumbani kwake mida ya saa 5 akiwa katoweka nyumbani kwa zaidi ya wiki nzima,alipofika nyumbani kama kawaida yake aliingia ndani na kumkuta mama mkwe wake akiwa kajilaza kwenye mkeka sebuleni,Kanzaga akang'aka "wewe mwanamke umelala badala ya kunipikia sasa nakumiminia dawa uendelee kulala zaidi"ndipo akachojoa suruali yake na kuanza kumkojolea mama mkwe wake akidhani ni mkewe kama alivyozoea kumtesa,ile mkojo unashuka tu,mama wa watu akashtuka na kuamka,kuona sura ya mzaa chema wake aliyezoea kumtesa Kanzaga akatimua mbio kali huku dudu lake likiwa nje ya suruali.

Navyoandika nipo Runzewe hadi sasa Kanzaga hajarudi nyumbani na hajulikani alipo.
Sio kitu cha ajabu kwenye nchi yenye watu takriban mil 45.
 
Sio kitu cha ajabu kwenye nchi yenye watu takriban mil 45.

walioathiriwa na mipango na sera mbovu za uchumi na wasiojua kodi wanazolipa zinakokwenda. Haya ni matokeo ya ufisadi uliotopea na kupitiliza.
 
Mlevi mmoja maarufu kwa jina la Kanzaga anayeishi ktk mji mdogo wa Runzewe uliopo ktk barabara kuu ya Kahama to Rwanda leo majira ya saa 5 asubuhi amejikuta akifanya tukio ambalo hakutarajia.

Kanzaga ambaye kwa muda mrefu amekuwa kila akilewa anampiga na kumnyanyasa mkewe leo aliwasili nyumbani kwake mida ya saa 5 akiwa katoweka nyumbani kwa zaidi ya wiki nzima,alipofika nyumbani kama kawaida yake aliingia ndani na kumkuta mama mkwe wake akiwa kajilaza kwenye mkeka sebuleni,Kanzaga akang'aka "wewe mwanamke umelala badala ya kunipikia sasa nakumiminia dawa uendelee kulala zaidi"ndipo akachojoa suruali yake na kuanza kumkojolea mama mkwe wake akidhani ni mkewe kama alivyozoea kumtesa,ile mkojo unashuka tu,mama wa watu akashtuka na kuamka,kuona sura ya mzaa chema wake aliyezoea kumtesa Kanzaga akatimua mbio kali huku dudu lake likiwa nje ya suruali.

Navyoandika nipo Runzewe hadi sasa Kanzaga hajarudi nyumbani na hajulikani alipo.

Hihihiiiii. .. kwaakwaakwaaaaaa. .... My ribs mweeee
 
Back
Top Bottom