mzaramo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2006 Posts 6,371 Reaction score 5,191 Nov 22, 2014 #21 nilivyoona kamkojolea mama mkwe nikastuka nikawa nasoma kwa hamu kamkojolea na mkojo upi maana wanaume tuna mikojo mingi
nilivyoona kamkojolea mama mkwe nikastuka nikawa nasoma kwa hamu kamkojolea na mkojo upi maana wanaume tuna mikojo mingi
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 1,686 Reaction score 1,758 Nov 22, 2014 #22 "ngoja tu nirudi nikaombe msamaha, maana hapana chezea u.tam.u"
Uni mwanitu Senior Member Joined Oct 25, 2014 Posts 198 Reaction score 55 Nov 22, 2014 #23 Hakulewa huyo angelewa asingekimbia. ila mambo mengine mtatuvunja mbavu jamani duu.!
king suleman JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 1,749 Reaction score 1,151 Nov 22, 2014 #24 mzaramo said: nilivyoona kamkojolea mama mkwe nikastuka nikawa nasoma kwa hamu kamkojolea na mkojo upi maana wanaume tuna mikojo mingi Click to expand... ID yako na post yko vinaendana
mzaramo said: nilivyoona kamkojolea mama mkwe nikastuka nikawa nasoma kwa hamu kamkojolea na mkojo upi maana wanaume tuna mikojo mingi Click to expand... ID yako na post yko vinaendana
mzaramo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2006 Posts 6,371 Reaction score 5,191 Nov 22, 2014 #25 king suleman said: ID yako na post yko vinaendana Click to expand... unadhani kuna haja ya kuwa na tofauti?
king suleman said: ID yako na post yko vinaendana Click to expand... unadhani kuna haja ya kuwa na tofauti?