Dalali wa Mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,082
- 1,569
- Thread starter
- #41
Bila shakaDalali sq m 1=350000,halafu kiwanja cha sqr m 721 =90ml?
Bila shakaDalali sq m 1=350000,halafu kiwanja cha sqr m 721 =90ml?
Nipigie simu mkuuNitafutie cha mil 10
Sawa nakucheki!Nipigie simu mkuu
Hamna noma mkuuSawa nakucheki!
Naona madalali kama matapeliKazi ya udalali ama real estate agency ilitakiwa ihalalishwe ifanywe na watu walioenda shule kidogo.
Tanzania real estate agency inafanywa na kila mtu hata ambae hakumaliza darasa la 2.
Ukiangalia hata matangazo yao mara wengine wajifanye ndio wataalamu wa ushauri wa uwekezaji kwa wateja wao, utasikia hapa ukiweka apartments zinajaa haraka.
Sasa angalia kama huyu, anasema square meter 1, laki 3 na elfu hamsini. Maana yake gharama ya sqm 721 ni milioni 252 ila yeye anauza milioni 90. Kama alikua anauza milioni 90, kulikua na haja gani ya kutaja gharama ya square meter 1?
Halafu Luguruni toka lini sqm moja ikawa laki 3 na nusu?
Hii ndio shida ya biashara ya udalali kufanywa na kila mtu, Tanzania mtu yoyote akikaribia kuchanganyikiwa basi hukimbilia kazi ya udalali.
Hapana sio wote mkuuNaona madalali kama matapeli
Kiwanja Sasa Ni milion 60 wakuu
Pamoja mkuuKikifika 1M nishtue
Sawa mkuu nimeacha.Acha upumbavu mtoa mada
Kwa huko mil 10 silitakiUnajua maana ya kulenga mkuu?
Twende nikupelekeKwa huko mil 10 silitaki
Hiyo Luguruni ipo mkoa gani?Habari wakuu.
Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja.
Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta.
Kiwanja hiki kinataka milion 90.
Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae
📱0754693556
Luguruni ipo mkoa WA Dar es salaamHiyo Luguruni ipo mkoa gani?
Na pia ni nchi gani?
Respected My GeeIla Bwana dalali napenda flexibility yako...
Kwenye biashara kuna bahati pia...
Keep moving my G.
Balaa kabisa Mzee wanguHatari sana