Mlengaji wa kiwanja njoo fasta nimekuletea dhahabu.

Mlengaji wa kiwanja njoo fasta nimekuletea dhahabu.

Dalali dizaini yako ndio kama yule aliyepokea kichapo toka kwa mjeda
Sifanyi huo ujinga kiwanja chako kama Hakina hati nitakubaliana na Wewe Kwa mwanasheria Kwa maandishi.

Natafuta kiwanja chako hati kisha baada ya kuuza unanipa Hela ya gharama zangu pamoja na Hela ya udalali.

Na hivyo ndio ninanyofanya kama kiwanja Hakina hati ujue mwanasheria atakuhusu.

Kama hutaki kwahilo basi nitajiridhisha Kwa balozi WA mtaa,mwenyekiti,afsa mtendaji na pamoja Kwa afsa ardhi WA wilaya husika ili nijue kiwanja kama kina mgogoro wa kiserikali au kifamilia.

Sifanyi Kazi zangu ilimradi nafanya Tu mkuu.
 
Habari wakuu.

Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja.

Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta.

Kiwanja hiki kinataka milion 90.
Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae

📱0754693556
Hahahah Luguruni ukauze kiwanja million 90.. nyie madalali mbingu hamtaiona kabisa..
 
Habari wakuu.

Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja.

Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta.

Kiwanja hiki kinataka milion 90.
Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae

📱0754693556
Mbona sioni picha ya hiko kiwanja, nikiuziwa choo je?
 
Dalali sqm 1 kwa 350,000/=? Jumla ije 90,000,000/=? Tena Luguruni.....
Kiwanja hata kama kilikuwa kinauzwa Bilion moja lakini kinaweza kulengwa Kwa milion 300 alafu mlengaji anakuja kuuza faida.

Sasa hicho cha Luguruni kinalengeshwa pia.
 
Niko tayari ila nataka kuona picha kwanza kabla ya kuja huko na kunipotezea muda wangu, nawajuwa madalali wa kibongo. Mtu anakupromise kitu, utashangaa mwisho wa siku anakuzungusha tu na kukupotezea muda.
Mkuu heshimu Kazi yangu.
Hadi unanipigia simu basi uliamini siwezi kukuangusha wala kukupotezea Muda wako.

Hivyo basi kama upo tayari kuona eneo nipigie simu ili ujiridhishe na Kile nilichokiandika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom