Mlengaji wa kiwanja njoo fasta nimekuletea dhahabu.

Mlengaji wa kiwanja njoo fasta nimekuletea dhahabu.

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,074
Reaction score
1,564
Habari wakuu.

Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja.

Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta.

Kiwanja hiki kinataka milion 90.
Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae

📱0754693556
 
Habari wakuu.

Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja.

Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta.

Kiwanja hiki kinataka milion 90.
Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae

📱0754693556
Yaani huko machakani ndi sqm 1 iwe laki 3.5? dalali katika ubora wako
 
Yaani milioni 90 unanunua kiwanja cha sqm 721! Hayo yatakuwa ni matumizi mabaya ya fedha.

Hela kama hiyo kwa mimi ninayetafuta hela ya kodi, ada na kula; ninanunua kiwanja kizuri na kikubwa zaidi ya hicho kwenye moja ya miji mizuri kwa kuishi hapa nchini! Halafu napandisha nyumba kali! Na chenji inabaki ya kununulia samani zote muhimu za ndani.
 
Kazi ya udalali ama real estate agency ilitakiwa ihalalishwe ifanywe na watu walioenda shule kidogo.

Tanzania real estate agency inafanywa na kila mtu hata ambae hakumaliza darasa la 2.

Ukiangalia hata matangazo yao mara wengine wajifanye ndio wataalamu wa ushauri wa uwekezaji kwa wateja wao, utasikia hapa ukiweka apartments zinajaa haraka.

Sasa angalia kama huyu, anasema square meter 1, laki 3 na elfu hamsini. Maana yake gharama ya sqm 721 ni milioni 252 ila yeye anauza milioni 90. Kama alikua anauza milioni 90, kulikua na haja gani ya kutaja gharama ya square meter 1?

Halafu Luguruni toka lini sqm moja ikawa laki 3 na nusu?

Hii ndio shida ya biashara ya udalali kufanywa na kila mtu, Tanzania mtu yoyote akikaribia kuchanganyikiwa basi hukimbilia kazi ya udalali.
 
Habari wakuu.

Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja.

Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta.

Kiwanja hiki kinataka milion 90.
Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae

📱0754693556
Dalali dizaini yako ndio kama yule aliyepokea kichapo toka kwa mjeda
 
Dalali kama dalali inabidi akutane na mwanajeshi
Mwanajeshi ndio nini wapo watu wengine kupigwa ni mwiko kwao yupo mwingine alichomwa kisu na dereva bajaji mbele ya familia yake hapo kawe kisa analeta mambo za uanajeshi kwa watoto waliopinda wanakuua..
 
Habari wakuu.

Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja.

Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta.

Kiwanja hiki kinataka milion 90.
Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae

📱0754693556
Hatimae JF imevamiwa na madalali wa town.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom