Mkwepa kodi mkubwa huyu hapa

Mkwepa kodi mkubwa huyu hapa

Kila kitu ni kupingwa tu...mengine tuonyeshe ushirikiano. Vinginevyo tunakosa maana
 
.. minyoo ashatoaa info fulani kuwa huyo msomali analindwa na smbdy Gasper wa tra temeke...haya vyombo husika anzeni naye Gasper

Ovaaa
 
Last edited by a moderator:
Naona watuhumiwa Wa kukwepa kodi, pamoja na jeshi la polisi wanatuchezea sinema,

ambayo mwisho wake ni wao kuwa huru,

Visingizio vinaandaliwa wakuu,
 
Watanzania hapa ndio tushaliwa tayari kwenye ile Sinema yetu ya TRA na Bandari,ukishaona Kova kaingia kwenye Sinema ujue hiyo Sinema haitafika mwisho bali itaishia hewani bila kujua mwisho wake.
 
Alikuwa kwa Gasper.M.Mhina afisa TRA wa Temeke anayeishi mbezi makabe, lakini usiku huu anatoroka baada ya kuona Kova kaitoa picha yake Live.

Mwaka huu mtachongeana sana sasa nenda kawasaidie polisi
 
Mwaka huu mtachongeana sana sasa nenda kawasaidie polisi

Utaanza kuwasaidia wewe unayezuia watu wasifuatilia Msomali kaenda wapi, inaelekea wewe ni mwizi wa makontena unafurahia Msomali apotee ili asingiziwe zigo lote wewe upone.
 
Jamaa kala konaa

Kasafiri usiku kucha kwa barabara sasa keshavuka mipaka bubu ya vijijini yupo Nchi Jirani, kilichobaki ni kuwaachia wote waliokamatwa kwa kisingizio kuwa wanamsaka mtuhumiwa mkuu kwanza.
 
.. minyoo ashatoaa info fulani kuwa huyo msomali analindwa na smbdy Gasper wa tra temeke...haya vyombo husika anzeni naye Gasper

Ovaaa

Mkuu Gaspar martin Mhina anaijua movie yote wakikaa naye chini watapata information zote lakini wajiandae vizuri kwani na yeye ni Mafia na mshirikina Hatari kwa kifupi kajipanga kwa vita mda mrefu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahah!! Hiyo imetoka yani hii nchi bhana!! Magufuli nilikupenda sana Ila ccm wamekupenda zaidi!! Magaidi yote yalivyo vamia kule Paris almanusura wadakwe kama siyo kujilipua!! Lakini hapa kwetu kumdaka tu mkwepa kodi mnashindwa???? Halafu kesho Mwenye hiyo passport atajitokeza na kusema yeye hausiki kwa namna yoyote ya ukwepaji kodi na wala siyo mfanya biashara!! Hii nchi bhana watu hawapo sirias hata kidogo


Polisi wetu wako vizuri sana kudeal na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu, kuzuia mita 200 na kumtafuta sheikh Ponda
 
Naona watuhumiwa Wa kukwepa kodi, pamoja na jeshi la polisi wanatuchezea sinema,

ambayo mwisho wake ni wao kuwa huru,

Visingizio vinaandaliwa wakuu,

Sinema imekwisha mtuhumiwa mkuu kaingia Nchi Jirani na sasa anaelekea Somalia kumbuka zigo lote atabebeshwa Yeye hivyo kuwarahishia dhamana wote na huenda baadae kukawa na part 2 movie ingine.
 
Last wk nilisoma kwenye Gazeti flan kwamba Msaidizi wa Masamaki akimbilia SOMALILAND sijui ndio huyo?
 
Huyo ni kadagaa tu,Mi papa wanaibeba
Ni kweli kwa vile huyu ndiye alitoa hayo makontena akikamatwa atataja wamiliki. Katika hali hiyo inaonyesha mapapa nao wana akili kwani akikamatwa atawataja. Uwezekano wa huyo mtu kupotea kama ile ndege ya Malaysia ni mkubwa ili mapapa yasikamatwe (am theorizing)
 
Back
Top Bottom