Mkwawa High School mpo?

Umenikumbusha mbali sana aisee!!!! Napamiss sana Mkwawa Complex School. Napamiss sana Makanyagio. Nalimiss sana bweni langu la Lumumba East ambapo pia nilikuwa kiranja wa bweni chini ya Mwalimu Mgimwa ambaye alikuwa Mwalimu mlezi wa bweni.

Nazimiss sana vurugu za maisha ya Mkwawa. Yaani kila mtu alikuwa na namna yake ya kwenda "preps" za jioni/usiku. Wakati wewe umelala bwenini ndio muda ambao mwenzako yumo darasani akipiga msuli wa kitabu na wakati ambao wewe unapanda juu huko academic zone ukajisomee utakuta unapishana na wengine wakienda kulala. Mkwawa ilikuwa raha sana na full kujiachia.

Nakumbuka sana baadhi ya wasichana kwenye combination yangu ya HKL walinisumbua sana kutaka ukaribu wa masuala ya kitaaluma lakini pia kuhusu mambo mengine yaliyokuwa yanaifanya shule kuwa complex zaidi yaani socialization. Hii yote ilikuwa kwa sababu ya uwezo wangu kitaaluma japo kifedha nilikuwa tu kapuku.

Mkwawa hakika ilikuwa sehemu nzuri kwangu ksomea kwani kulikuwa na everything in terms of reading materials.

Mimi nipo Mwanza

Mkwawa jamaniiiiii!!!!!!!
Mwaka gani?
 
nimekumbuka mbali sana
mwl masatu kunikamata nikiota jua nakuniimbishq nyimbo ya shule
makamu mzee tende kunilazimisha kuimbisha mwenge ndio kwanza nilikuwa nimeripoti form five
kuoga wk to wk
kuna watu walikuwa wanakula bata hawachukuliwi hatua kali pale ngazi 15,ila ikitokea kwako utajuta
nilikuwa pale pcm m1 ofcourse nimefurah kusoma maelezo ya wadau.
 
nimekumbuka mbali sana
mwl masatu kunikamata nikiota jua nakuniimbishq nyimbo ya shule
makamu mzee tende kunilazimisha kuimbisha mwenge ndio kwanza nilikuwa nimeripoti form five
kuoga wk to wk
kuna watu walikuwa wanakula bata hawachukuliwi hatua kali pale ngazi 15,ila ikitokea kwako utajuta
nilikuwa pale pcm m1 ofcourse nimefurah kusoma maelezo ya wadau.
Mwaka gani?
 
Back
Top Bottom