Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Mh ZITTO naona kama PINDA mnataka kumsukumia zigo la dhambi kwa kumuwajibisha kutokana na makosa ya mawaziri wengine. Kwa ni nini tusilie na yule aliyewateua na kuunda baraza lao. Tunajua Pinda naye alishiriki lakini mwenye maamuzi ya mwisho ni rais mwenyewe. Huyu rais kwani hajui ubovu na ubadhirifu wa mawaziri wake?
Kwa nini asiwapige chini wote wanaotuhumiawa kwa uzembe? Nionavyo rais ndiye anayepaswa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye kwa sababu masanamu aliyoyachonga yeye mwenyewe sasa yanamzidi akili na maarifa ya uhalifu. Hivi timu ikifanya vibaya anawajibishwa kocha aliyepanga timu? Au kapteni (nahodha) wa timu?
Kwa nini asiwapige chini wote wanaotuhumiawa kwa uzembe? Nionavyo rais ndiye anayepaswa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye kwa sababu masanamu aliyoyachonga yeye mwenyewe sasa yanamzidi akili na maarifa ya uhalifu. Hivi timu ikifanya vibaya anawajibishwa kocha aliyepanga timu? Au kapteni (nahodha) wa timu?