hahahaa sasa ndio nini??
au maandalizi ya ujasiliamali baada ya kuona mwenzake PHD kalia
Nhahahaahaaaa !Hata jinzi wanavaa zilizopauka ili tufanane nao
Huyu lofa vp tena anareta masiala apo anafanya nin
Hapo ndio huwa nakupenda,kama Mzee kifimbo cheza vile na wachafuzi wa lugha!= analeta
= masihara
anamuiga makonda apewe ukuu wa mkoa....dawa yake msigwa huyoView attachment 333126
Mkuu wetu wa wilaya ya Iringa akiwa amebeba box huku akitizama camera...
kazi kweli kweli!! Mpaka wewe pia unaponda mtu?!Huyu lofa vp tena anareta masiala apo anafanya nin