Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini akibeba Boksi

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini akibeba Boksi

ndio mana tunataka hivi vyeo vya ukuu wa wilaya vifutiliwe mbali, yani watu wanaigiza ili magu awaone!
 
Apewe ajira ya kubeba mabox na waandishi wa habari ndizo kazi he can do better than zile alizoandikiwa kwenye barua ya appointment

Inaelekea kuzurura na kupiga picha ndiyo fani yake hivyo atafutiwe nafasi huko ili u DC wapewe wanaouelewa
 
Back
Top Bottom