Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!

Kwa hiyo ukiharibiwa Mali zako unatafutwa huruma ya kura,Watanzania tumefikia that low.Chuki na visasi kuna siku atakuja kujutia.
Probable you missed a point. Recount past Portugale elections. People do sympathises with such victime in such situazion. I ho condermo this ba-Barricck act in the highestos terms pozsible and I mean it is totale non e acceptabile in today ccivilizato worldo or il Mondo
 
mbona siku zilizopit atulisikia serikali imechukua shamba hili? au ilikuwa mambo ya vyombo vya habari?
 
Nimemsikia Mbowe akihojiwa na Clouds Fm jioni hii , kua shamba lake limevamiwa na mkuu wa wilaya husika pamoja na mgambo.
Mbowe kazungumza na wafanyakazi wake na kudhibitisha kua Mabomba yamekatwa , mimea imekatwa na miundo mbinu (green house facilities) imeharibiwa vibaya.

Ni muendelezo wa Barua waliyopeaa na NIMRA kuwataka wasitishe Kilimo katika Eneo hilo kwani ni sehemu ya Chanzo cha maji.

Mbowe adai kutoacha acha siasa kamwe kwani ni sehemu ya vitisho kumtaka aache siasa.
 
Wakati tunahangaika na Acacia kutuibia na kutuacha malofa, sasa sisi wenyewe tunapeana ulofa kwa sababu za kijinga sana zenye harufu ya siasa uchwara.
 
Vitisho aache siasa au aache kulima kwenye chanzo cha maji, hivi hawa viongozi wakishakuwa na madaraka kwa njni wanakuwa hawajali maslahi ya watu wa chini? Anatofauti gani sasa na wale wanasaini mikataba ya madini alafu wanapiga kelele
 
c5de62fa5b7a15eda70e2df0a74188c7.jpg
 
Huu ni upumbavu. Wakati tunahangaika na Acacia kutuibia na kutuacha malofa, sasa sisi wenyewe tunapeana ulofa kwa sababu za kijinga sana zenye harufu ya siasa uchwara. Pumbaf kabisa.
Ngozi nyeupe tunaiogopa lingekuwa la mzungu wangemfata kwa adabu na kumuomba aondoke
 
Back
Top Bottom