kawa kiongozi wa kuigwa acha ma ndondocha ya ccmnapenda kuandika histria kwa ufupi mnooo naona mwana sias mwenyw busara ni freeman mboe moja
Alinyanganywa shamba hakusema chochote
Alifutiwa ati miliki ya hotel napo alipiga moyo kondo
Amenyanganywa gari na bunge hajasema chocht
Hiyo ndiyo busara naamin hakuna mwananchi anae mchukis
Yale yale ya Bomobomoa ya Dar/Kimara vs Mwanza. Chuki iliyojaa pomoni.
Kukomoana style lkn Ukiwa mpinzani wakeYale yale ya Bomobomoa ya Dar/Kimara vs Mwanza. Chuki iliyojaa pomoni.
Viongozi wa aina hii hawatakiwi kabisa kushika nafasi za uongozi kwenye nchi hii,sema tu ndio hivyo...!Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea.
Mh. Mbowe amezungumza na [HASHTAG]#Jahazi[/HASHTAG] moja kwa moja kutoka bungeni mjini Dodoma... "Ni kweli nimezipata hizi habari mkuu wetu wa wilaya akiambatana na askari na waandishi wa habari walikwenda kwenye mradi wetu na kukatakata mimea na kufanya uharibifu mkubwa, taarifa nilizozipata kutoka kwa wafanyakazi waliopo site walisema walipokea barua kutoka NEMC kuwa kilimo tunachokifanya kinaharibu mazingira na hatukustahili kuendelea na kilimo kile, ni jambo la kufedhesha sana tunawahamasisha watanzania wawekeze kwenye kilimo cha kisasa lakini viongozi wa serikali bila kuheshimiana wanakwenda kuharibu, sio kweli kilimo chetu hakiharibu mazingira, familia yetu imelima kwenye shamba hilo kwa zaidi ya miaka 80"
Zaidi, soma:
Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
Huyu ndio balozi mpya ! Hii ni aibu kubwa sana kwa mamlaka ya Uteuzi , Labda tuambiwe Rais anapewa Majina na watu wengine walio juu yakeKamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea.
Mh. Mbowe amezungumza na [HASHTAG]#Jahazi[/HASHTAG] moja kwa moja kutoka bungeni mjini Dodoma... "Ni kweli nimezipata hizi habari mkuu wetu wa wilaya akiambatana na askari na waandishi wa habari walikwenda kwenye mradi wetu na kukatakata mimea na kufanya uharibifu mkubwa, taarifa nilizozipata kutoka kwa wafanyakazi waliopo site walisema walipokea barua kutoka NEMC kuwa kilimo tunachokifanya kinaharibu mazingira na hatukustahili kuendelea na kilimo kile, ni jambo la kufedhesha sana tunawahamasisha watanzania wawekeze kwenye kilimo cha kisasa lakini viongozi wa serikali bila kuheshimiana wanakwenda kuharibu, sio kweli kilimo chetu hakiharibu mazingira, familia yetu imelima kwenye shamba hilo kwa zaidi ya miaka 80"
Zaidi, soma:
Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
Yule mwehu angeendelea kuwa hai hadi leo nchi ingekuwa kama Sudan.mtu mwovu akifa, wananchi hupata ahueni.
au zaidi ya sudan. Mungu asante babakutuondolea jinamizi johnthebaptistYule mwehu angeendelea kuwa hai hadi leo nchi ingekuwa kama Sudan.
Mh Baloziau zaidi ya sudan. Mungu asante babakutuondolea jinamizi johnthebaptist
Kazi kweli kweliKamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Gellasius Byakanwa wamevamia shamba la mbunge wa jimbo hilo, Mh. Freeman Mbowe lililoko nyumbani kwake Machame na kuharibu miundo mbinu na mali pamoja na mboga mboga na mimea.
Mh. Mbowe amezungumza na [HASHTAG]#Jahazi[/HASHTAG] moja kwa moja kutoka bungeni mjini Dodoma... "Ni kweli nimezipata hizi habari mkuu wetu wa wilaya akiambatana na askari na waandishi wa habari walikwenda kwenye mradi wetu na kukatakata mimea na kufanya uharibifu mkubwa, taarifa nilizozipata kutoka kwa wafanyakazi waliopo site walisema walipokea barua kutoka NEMC kuwa kilimo tunachokifanya kinaharibu mazingira na hatukustahili kuendelea na kilimo kile, ni jambo la kufedhesha sana tunawahamasisha watanzania wawekeze kwenye kilimo cha kisasa lakini viongozi wa serikali bila kuheshimiana wanakwenda kuharibu, sio kweli kilimo chetu hakiharibu mazingira, familia yetu imelima kwenye shamba hilo kwa zaidi ya miaka 80"
Zaidi, soma:
Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe
Inaruhusiwa kama haiathiri mazingira ya mto. ...(river) na kuna aina ya mimea inaruhusiwa ambayo ni environmental friendly, those of horticulture being one of those.......Je bustani hiyo ililuwa karibu na chanzo cha maji
πππInaruhusiwa kama haiathiri mazingira ya mto. ...(river) na kuna aina ya mimea inaruhusiwa ambayo ni environmental friendly, those of horticulture being one of those.......