Mkuu wa tawi la chuo Kikuu cha Al Mustapha , Ali Taghavi awataka waislam kuipenda quraan kwani imetoka kwa Mungu

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,240
4,767
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini:

Al Mustapha ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Taghavi Tawi la Tanzania amewaomba Waislamu wote duniani kukipenda kitabu kitakatifu cha Quraan akisistiza ni kitabu pekee ambacho waumini wote wamekubaliana kukitumia na kimetoka kwa Mungu kupitia Mtume Muhammadi.https://www.ippmedia.co.tz/nipashe-jumapili/habari-nipashe-jumapili/kitaifa-nipashe-jumapili/read/waislam-wahimizwa-kuipenda-quran-2024-04-28-145732

Nipashe
 

Attachments

  • 1714460105242.jpg
    1714460105242.jpg
    514.5 KB · Views: 2
Karibuni madafu na mwambie jamaa aache blah blah huyo. Mungu aliumba madafu tu, hajasusha quran. Kama aliishusha quran, atuambie wakati wa uumbaji wa mwanadamu pitia tone la shahawa, mungu aliitoa wapi hiyo na aliingizaje kwa mwanamke?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini:

Al Mustapha ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Taghavi Tawi la Tanzania amewaomba Waislamu wote duniani kukipenda kitabu kitakatifu cha Quraan akisistiza ni kitabu pekee ambacho waumini wote wamekubaliana kukitumia na kimetoka kwa Mungu kupitia Mtume Muhammadi.https://www.ippmedia.co.tz/nipashe-jumapili/habari-nipashe-jumapili/kitaifa-nipashe-jumapili/read/waislam-wahimizwa-kuipenda-quran-2024-04-28-145732

Nipashe
20231014_121104.jpg
 
Back
Top Bottom