Umba Tuku
JF-Expert Member
- Feb 4, 2017
- 2,101
- 1,271
Mkuu wa shule ya Lucky Vincent ashitakiwe kwa kosa LA kusababisha mauaji baada ya kuruhusu Gari ya kubeba abiria 28 ibebe abiria 40. Bila uzembe wa Huyu Mkuu, idadi ya marehemu ingekuwa ni ndogo. Polisi wamshughulikie kikamilifu
acha utoto kwenye mambo magum wewe kojoa ulale