Mkuu wa nchi ndani ya Irish Pub

Alini-bore alivyomgwaya Netanyahu juzi. Marekani kwa Israel ni kama JK kwa RA!

Mzee ile ngoma ilikuwa nzito na baadaye Netanyahu aliunguza LIVE kwenye Bunge lake Jana alikuwa anapigiwa makofi kila dakika na msimamo kauweka Obama hawezi kugusa pale pa moto kaka
 
Kikwete anacheza mpira wa Miguu vizuri kweli, Kikwete pamoja na kupenda wanawake hanywi pombe kabisa...

angekuwa anakunywa walahi angekuwa 'zezeta',maana km kweli kile kichwa ni pure hamna kilaji na hakuna 'kitu',hakyanan sipati picha km angekuwa anakata kilaji..!
 
Kama mtu anafanya kazi inayoonekana hana budi kujiburudisha baada ya kazi.
Hivi huyu wa kwetu akienda kuburudika anaweza kutuonesha alichofanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…