chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
ana matingo fijo ,huyu rc analazmisha watu kuchanjwa!!!
Kaka kazi ya chanjo si siri. Vijidudu vya ugonjwa vilivyodhoofishwa vinaingizwa mwilini, mfumo wa kinga wa mwili unavitambua na kuandaa seli za kuviua. Wakati vijidudu vya ugonjwa vinafika, seli za kinga zinaviua. Mfumo asilia wa kinga kwa kawaida unafanya kazi hiyo peke yake, lakini unahitaji muda. Kama ugonjwa mpya (kama Covid 19) unatokea, mashambulio ya ugonjwa yanaweza kuleta hasara haraka kabla mfumo wa kinga umejifunza, basi mtu atakuwa mgonjwa sana hadi kufa. Mfumo wa kinga ni mdhaifu zaidi kwa wazee na watu wenye magonjwa kama usukari, kansa na kadhalika, hapo sababu watu hao wanakufa zaidi kuliko vijana, au watoto.Sasa kama una ujuzi kwann hamtoi huduma mna waachia wanasiasa walete ujinga kwenyr taaluma yenu?
Hivi ni upi utofauti wa ubora kati ya chanjo moja hadi nyengine, yani kipi kinaangaliwa ili kuweza kujua kuwa chanjo fulani bora zaidi kuliko chanjo nyengine?Kaka kazi ya chanjo si siri. Vijidudu vya ugonjwa vilivyodhoofishwa vinaingizwa mwilini, mfumo wa kinga wa mwili unavitambua na kuandaa seli za kuviua. Wakati vijidudu vya ugonjwa vinafika, seli za kinga zinaviua. Mfumo asilia wa kinga kwa kawaida unafanya kazi hiyo peke yake, lakini unahitaji muda. Kama ugonjwa mpya (kama Covid 19) unatokea, mashambulio ya ugonjwa yanaweza kuleta hasara haraka kabla mfumo wa kinga umejifunza, basi mtu atakuwa mgonjwa sana hadi kufa. Mfumo wa kinga ni mdhaifu zaidi kwa wazee na watu wenye magonjwa kama usukari, kansa na kadhalika, hapo sababu watu hao wanakufa zaidi kuliko vijana, au watoto.
Chanjo zote, pia zile za Covid19, zina kazi ya kuuamsha mfumo wa kinga wako na kuuandaa kwa shambulio lijalo.
Kuhusu Israeli umesikiasikia tu kitu mahali fulani, na unaisambaza bila kukichungulia.
Ninakuambia si kweli!
Ukitaka kunipinga, lete chanzo. Kama huna cha kuonyesha, heri usisambaze habari za uwongo
Tafadhali!!
Chanjo za Covid zinafanya kazi na zimethibitishwa katika nchi nyingi kuwa zinakinga. Si asilimia 100, lakini kwa watu wengi sana sana!
Ataaibika huyu mama ajaribu.Ila kwa taarifa zilizo chini ya kapeti kuna amri inakuja kutolewa punde kwa kila mtoa huduma ama muuzaji anatakiwa awe amechanjwa.
Baadae watakuja katika majumuiko ya dini na masoko makubwa.
Time will tell
Heeeee siijui kala maharage ya wapi? Hawa viongozi wa hv ndo anawakataa king msukuma.ameshindwa kubuni mambo ya maana yenye maslahi kwa nchi,analipuka na lake tuuu.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera ametangaza kuanza utoaji wa chanjo ya Uviko 19 nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda na katika nyumba za ibada kuazia kesho Jumamosi Septemba 25, 2021.
Homera ametoa msimamo huo leo Ijumaa Septemba 24, 2021 kwenye kikao cha wadau cha uhamasishaji wa chanjo kwa wananchi mkoani Mbeya.
Amesema wamefikia uamuzi huo kwa sababu Mkoa ulipokea chanjo 50,000 lakini mpaka sasa waliopata chanjo ni 10,000 jambo ambalo halikubaliki huku Serikali ikiwa imetumia gharama kubwa kwa lengo la kuokoa uhai wa Watanzania
"Zoezi la utoaji chanjo ya Uviko 19 ni nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda kwa kuwashirikisha watendaji wa ngazi za kata na vijijini kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa na jamii kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa uviko 19 ingawa sio lazima lakini itabidi iwe hivyo,"amesema.
Mwakilishi wa Wizara ya Afya, Dk Baraka Nzobo amesema jamii inapaswa kutambua chanjo hiyo haina madhara kwa binadamu na kwamba inasaidia kupunguza vifo na maambukizi ya Uviko 19.
"Ni hofu tu imejengeka miongoni mwa jamii na tafsiri tofauti juu ya kinga hiyo hivyo niungane na mkuu wa mkoa kwa kuanza kwa zoezi la nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda ili kufikia malengo ya serikali ya chanjo zikizotolewa katika kila mkoa."amesema.
Mkazi wa Forest, Saada Abdalla amesema msimamo huo wa Homera ni sahihi kwani jamii imekuwa ikiona chanjo hiyo ni kama sumu jambo ambalo linachangia kuwepo kwa vifo vitokanavyo na Uviko 19 na kuwepo kwa changamoto ya vifaa hususan oksijeni kwenye hosptali zetu nchini.
Mwananchi
Usimsumbue jamaa angalia statistics hiyo hapo pia nenda google uangalie uone israel wanataka kuwacjoma wananchi wao dozi ya 4 na booster kwa sababu chanjo hazijawasaidia.Kaka kazi ya chanjo si siri. Vijidudu vya ugonjwa vilivyodhoofishwa vinaingizwa mwilini, mfumo wa kinga wa mwili unavitambua na kuandaa seli za kuviua. Wakati vijidudu vya ugonjwa vinafika, seli za kinga zinaviua. Mfumo asilia wa kinga kwa kawaida unafanya kazi hiyo peke yake, lakini unahitaji muda. Kama ugonjwa mpya (kama Covid 19) unatokea, mashambulio ya ugonjwa yanaweza kuleta hasara haraka kabla mfumo wa kinga umejifunza, basi mtu atakuwa mgonjwa sana hadi kufa. Mfumo wa kinga ni mdhaifu zaidi kwa wazee na watu wenye magonjwa kama usukari, kansa na kadhalika, hapo sababu watu hao wanakufa zaidi kuliko vijana, au watoto.
Chanjo zote, pia zile za Covid19, zina kazi ya kuuamsha mfumo wa kinga wako na kuuandaa kwa shambulio lijalo.
Kuhusu Israeli umesikiasikia tu kitu mahali fulani, na unaisambaza bila kukichungulia.
Ninakuambia si kweli!
Ukitaka kunipinga, lete chanzo. Kama huna cha kuonyesha, heri usisambaze habari za uwongo
Tafadhali!!
Chanjo za Covid zinafanya kazi na zimethibitishwa katika nchi nyingi kuwa zinakinga. Si asilimia 100, lakini kwa watu wengi sana sana!
ajarbu kija na vichanjo vyake labda achanje mbuziiMkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera ametangaza kuanza utoaji wa chanjo ya Uviko 19 nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda na katika nyumba za ibada kuazia kesho Jumamosi Septemba 25, 2021.
Homera ametoa msimamo huo leo Ijumaa Septemba 24, 2021 kwenye kikao cha wadau cha uhamasishaji wa chanjo kwa wananchi mkoani Mbeya.
Amesema wamefikia uamuzi huo kwa sababu Mkoa ulipokea chanjo 50,000 lakini mpaka sasa waliopata chanjo ni 10,000 jambo ambalo halikubaliki huku Serikali ikiwa imetumia gharama kubwa kwa lengo la kuokoa uhai wa Watanzania
"Zoezi la utoaji chanjo ya Uviko 19 ni nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda kwa kuwashirikisha watendaji wa ngazi za kata na vijijini kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa na jamii kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa uviko 19 ingawa sio lazima lakini itabidi iwe hivyo,"amesema.
Mwakilishi wa Wizara ya Afya, Dk Baraka Nzobo amesema jamii inapaswa kutambua chanjo hiyo haina madhara kwa binadamu na kwamba inasaidia kupunguza vifo na maambukizi ya Uviko 19.
"Ni hofu tu imejengeka miongoni mwa jamii na tafsiri tofauti juu ya kinga hiyo hivyo niungane na mkuu wa mkoa kwa kuanza kwa zoezi la nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda ili kufikia malengo ya serikali ya chanjo zikizotolewa katika kila mkoa."amesema.
Mkazi wa Forest, Saada Abdalla amesema msimamo huo wa Homera ni sahihi kwani jamii imekuwa ikiona chanjo hiyo ni kama sumu jambo ambalo linachangia kuwepo kwa vifo vitokanavyo na Uviko 19 na kuwepo kwa changamoto ya vifaa hususan oksijeni kwenye hosptali zetu nchini.
Mwananchi
Kaka unachekesha! Napenda watu wanaoandika "F*ck off" na wakati huohuo kujitambulisha "JESUS CHRIST THE SON OF GOD IS MY LORD". Tutumaini Lord wako asisome Jamiiforums?Usimsumbue jamaa angalia statistics hiyo hapo pia nenda google uangalie uone israel wanataka kuwacjoma wananchi wao dozi ya 4 na booster kwa sababu chanjo hazijawasaidia.
Ishu ni kwamba wenye elimu hawawezi tumia ubongo wanasubiri billi gates na wazungu wataawaambia nini cha kukariri.
F*ck off
View attachment 1952861
Hiyo nisawa kabisaKesho ni siku ya mapumziko ya familia, nitakuwa nyumbani kwangu hapa Soweto Mbeya, sasa nione huyo atakayekuja kwangu eti kulazimisha Mimi au familia tuchanje kwa nguvu, yaani tusije kulaumiana.
Mimi na familia yangu tulishaamua badala kutumia haya machanjo chanjo yasiyokuwa na guarantee yoyote, tuimarishe mifumo ya kinga ya mwili kwa ulaji wa vyakula maalum na mchanganyiko wa herbs maalum zinazotokana na viungo, mizizi na matunda kama tulivyopata formula yake kutoka kwa watalaam wa NIMR kipindi cha JPM, na tume_ survive phase zote ngumu kuanzia mlipuko wa kwanza hadi sasa, na imeonyesha matokeo ya uhakika compare na haya madubwasha ya tunayotupiwa huku Afrika.
Sasa nione huyo mtu atakayekanyaga kwangu hiyo kesho kunilazimisha upuuzi wowote, Ebo.
Kama hiyo michanjo imewadodea na wanataka ku_retire imprest ya hao mabeberu watafute njia nyingine, siyo kukanyaga hapa kwangu.
kuna vitu vingine hua vinaboa yaani !Usitukane,punguza munkari bro.
Wasuburi majambia, tumechoka na ujinga wao.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera ametangaza kuanza utoaji wa chanjo ya Uviko 19 nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda na katika nyumba za ibada kuazia kesho Jumamosi Septemba 25, 2021.
Homera ametoa msimamo huo leo Ijumaa Septemba 24, 2021 kwenye kikao cha wadau cha uhamasishaji wa chanjo kwa wananchi mkoani Mbeya.
Amesema wamefikia uamuzi huo kwa sababu Mkoa ulipokea chanjo 50,000 lakini mpaka sasa waliopata chanjo ni 10,000 jambo ambalo halikubaliki huku Serikali ikiwa imetumia gharama kubwa kwa lengo la kuokoa uhai wa Watanzania
"Zoezi la utoaji chanjo ya Uviko 19 ni nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda kwa kuwashirikisha watendaji wa ngazi za kata na vijijini kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa na jamii kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa uviko 19 ingawa sio lazima lakini itabidi iwe hivyo,"amesema.
Mwakilishi wa Wizara ya Afya, Dk Baraka Nzobo amesema jamii inapaswa kutambua chanjo hiyo haina madhara kwa binadamu na kwamba inasaidia kupunguza vifo na maambukizi ya Uviko 19.
"Ni hofu tu imejengeka miongoni mwa jamii na tafsiri tofauti juu ya kinga hiyo hivyo niungane na mkuu wa mkoa kwa kuanza kwa zoezi la nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda ili kufikia malengo ya serikali ya chanjo zikizotolewa katika kila mkoa."amesema.
Mkazi wa Forest, Saada Abdalla amesema msimamo huo wa Homera ni sahihi kwani jamii imekuwa ikiona chanjo hiyo ni kama sumu jambo ambalo linachangia kuwepo kwa vifo vitokanavyo na Uviko 19 na kuwepo kwa changamoto ya vifaa hususan oksijeni kwenye hosptali zetu nchini.
Mwananchi
Wakija nyumbani tutawatoa nduki na mbwa.
Aanzie nyumbani kwake yeye na mke wake na watoto wake wote!! Inabidi afundishwe nini maana ya hiari!! Aachie ngazi! Hatoshi kwenye kiti chake!! Hana nguvu ya ushawishi badala yake anataka kutumia nguvu kinyume na maelekezo ya mkuu wa nchi, huo ni UASI!!! Mkuu huyo wa mkoa ajue kuwa anafanya UASI kwa kukiuka maelekezo ya RAIS kuwa chanjo ni hiari!! AJIUZURU!!Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera ametangaza kuanza utoaji wa chanjo ya Uviko 19 nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda na katika nyumba za ibada kuazia kesho Jumamosi Septemba 25, 2021.
Homera ametoa msimamo huo leo Ijumaa Septemba 24, 2021 kwenye kikao cha wadau cha uhamasishaji wa chanjo kwa wananchi mkoani Mbeya.
Amesema wamefikia uamuzi huo kwa sababu Mkoa ulipokea chanjo 50,000 lakini mpaka sasa waliopata chanjo ni 10,000 jambo ambalo halikubaliki huku Serikali ikiwa imetumia gharama kubwa kwa lengo la kuokoa uhai wa Watanzania
"Zoezi la utoaji chanjo ya Uviko 19 ni nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda kwa kuwashirikisha watendaji wa ngazi za kata na vijijini kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa na jamii kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa uviko 19 ingawa sio lazima lakini itabidi iwe hivyo,"amesema.
Mwakilishi wa Wizara ya Afya, Dk Baraka Nzobo amesema jamii inapaswa kutambua chanjo hiyo haina madhara kwa binadamu na kwamba inasaidia kupunguza vifo na maambukizi ya Uviko 19.
"Ni hofu tu imejengeka miongoni mwa jamii na tafsiri tofauti juu ya kinga hiyo hivyo niungane na mkuu wa mkoa kwa kuanza kwa zoezi la nyumba kwa nyumba ,kitanda kwa kitanda ili kufikia malengo ya serikali ya chanjo zikizotolewa katika kila mkoa."amesema.
Mkazi wa Forest, Saada Abdalla amesema msimamo huo wa Homera ni sahihi kwani jamii imekuwa ikiona chanjo hiyo ni kama sumu jambo ambalo linachangia kuwepo kwa vifo vitokanavyo na Uviko 19 na kuwepo kwa changamoto ya vifaa hususan oksijeni kwenye hosptali zetu nchini.
Mwananchi
Ameamua KUASI maelekezo ya RAIS ! Anategemea nini!! Naona nafasi ya RC Mbeya iko wazi!!Mbona analazimisha