Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,064
- 18,418
Njaa yako hiyo usitusemee tusiohitaji ubwabwa na soda, labda aseme kitimoto na bia.wakitaka kupata watu wengi wa kuchanja watangaze tu kila anayechanjwa atapewa sahani ya ubwabwa na soda moja.
hii itafanikiwa sana kwasababu waTZ wengi wanafikiria kwa kutumia matumbo.