beyond heaven
Member
- Dec 15, 2011
- 83
- 96
nimemsikiliza uyu jamaa..co mtaalam ila ni mwanasiasa kama lowasa..huyu jamaa ni panzi..anaongea upupu
You are right eti helicopta za polisi ni za kutoa taarifa tu na sio kuokoa kwa kuwa sio special kwa uokoaji this is crazy. Haya ni mambo ya mukulu kuchagua friends wake kwenye position zinazihitaji watu wenye taaluma.nimemsikiliza uyu jamaa..co mtaalam ila ni mwanasiasa kama lowasa..huyu jamaa ni panzi..anaongea upupu
You are right eti helicopta za polisi ni za kutoa btaarifa tu na sio kuokoa kwa kuwa sio special kwa uokozi this is crazy.
Inabidi hawa wakuu wa mikoa wawe wanapigiwa kura nao, but wait, hata hao wabunge wa kupigiwa kura hawafanyi lolote.
Tumekwisha.
tutamaliza pesa, hao tunaowapigia kura ndio hovyo kabisa:lol:Inabidi hawa wakuu wa mikoa wawe wanapigiwa kura nao, but wait, hata hao wabunge wa kupigiwa kura hawafanyi lolote.
Tumekwisha.
:lol::lol::lol::lol:
hivi kuna hata mtu mmoja tumewahi kumsifia humu JF?
Slaa, Mbowe, Lema hata wakizuga wafuasi wao wakale marungu wao wanasifiwa tu.
we dada wee, hujaona bifu against slaa, mbowe na lema humu jamvini, tena na wewe ndio mkata viuno nambari wani?? aisee