mkuu asante kwa taarifa ila kuna vitu vinahitaji maelezo
1. Cdm hawana taarifa ya huo uwanja kutumiwa na mwakasege?
2. Mmiliki wa huo uwanja ni polisi au?
3. Mkutano wa cdm unahusika nini na bunge kuendelea?
4. Mkutano wa mwakasege hauna uhusiano na bunge kuendelea?
5.je cdm wakifanyia mkutano wao mahala pengine kwa polisi ni sawa?
Wakati M4C KANDA YA KATI maandalizi yake yakiwa YAMEKAMILIKA.
Taarifa nilizosikia muda si mrefu ni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Jeshi la polisi wamesema ole wao CHADEMA wajitokeze kiama chao watakiona.
Tayari Ulinzi mkali kuanzia usiku huu umeimarishwa huku Magari ya Kuwasha pamoja na Defender zaidi ya 100 zinaranda randa kila kona.
Sababu zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa: '' Bunge linaendelea....''
Polisi: ''....mchungaji Mwakasege amewahi UWANJA kabla ya CHADEMA...''
Source: WAPO FM.
Hayo maandamano yenu kafanyieni Himo, Kilimanjaro.
Mungu wangu, kama bunge linaendelea maisha yasiendelee? Kazi kweli kweli!!!!!!
Maskini babe Wa watu, ah!! Duniani watu jamani wabaya!! Babe Wa watu, babe huyu kipindi kile nyota yake inang'aa, Basi akisema Nape Basi si magazeti hayo, si maredio hayo, si ma-Tv, Basi kila kOna nape-nape, ah sikuizi nyota imeshafunikwa, ah.. Anatema speech lakini Hata mbu haimgusi, babe wa watu kaishia kulazake vitumbua, Hata like TANGAZO la WHO, la kufunika vyakula tulavyo alikumbuke wapi, nyota ikifunikwa shida mtindO mmoja, chezea watu.. Watu wabaya nakwambia.. Kha waleta maskhara!?
Wewe t.a.k.o kweli
Mikutano ya siasa ilishakatazwa hairuhusu wakati wa kipindi cha Bunge.Nyie mnavichwa kweli.Napata wasiwasi na watu waliomo humu ndani kama wako sawa
Chadema kinapata umaarufu kutokana na uongozi mbovu wa ccm. Sasa badala ya ccm kutumia muda wao kuondoa kasoro na mapungufu ya kiuongozi, wanatumia muda mwingi na mbinu chafu kupambana na CHADEMA. Eti atahakikisha anakabidhi uongozi wa nchi 2015 kwa mwenzake wa ccm. Sio kura za wananchi zitaamua?badala ya kupambana na umaskini wa Taifa pamoja na Deni la Taifa Wao Wanapambana Na CHADEMA....
Embu basi kuwe na ziara za kuwatembelea wafanya biashara wadogo, wakulima, wanafunzi, walimu mashuleni na sehemu zingine za jamii kusikiliza kero zao, kila siku mikusanyiko na wauni tu khaa, inachosha kusoma sasa mambo yaleyale kila kukicha.