Mkuu wa mkoa na Polisi wapiga marufuku M4C Kanda ya Kati

siasa za africa tabu sana.mbona wenyewe ccm wanafanya mikutano morogoro, chadema ni lazima tuamke na tusikubali manyanyaso ya ccm na vyombo vya dola...ccm ----... you
 
tuchangie ilitupate ukweli kuhusu haki ya mkusanyiko na uhuru wa kujieleza kama demokrasia inavyosema sababu akina lusinde,nkamia,mwingulu na serukamba naona wameanza kujitokeza
 
Ndugu yangu,

Ushirikishe ubongo wako kwenye kufikiri,na hivyo na wewe usifikiri kwa kutumia masaburi yako. Do you know the constitutional right to freedom of assembly and freedom of association? Can you just take this fundamental right of a person without a good cause? Can you really say that the parliamentary sessions which are on going will be disturbed by Chadema holding a public meeting with its members and followers? How? Why is it that the CCM meetings taking place in Morogoro are not disturbing the parliamentary proceedings? Think hard my friend,use wisely the brain God has given you


Hivi, usalama wa taifa ni sehemu ya jeshi la polisi au la kujenga taifa? hivi hao jamaa wanakutana wapi?
kama kuna sehemu wanakutana, au hawakutani lakini wote ni walinzi wa usalama wa nchi na raia kwa ujumla.

Sasa kwa mantiki hiyo Chadema inapowashambulia Usalama wa Taifa, unatarajia Polisi wakutendee vizuri? Kwani hao si wana bosi mmoja wa juu??.
Mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake!.


Ushauri wa bure: Chadema wakaombe kuzindua M4C kwenye viwanja vya Kanisa.
 
nguvu inayotumika kuzuia mikutano ya chadema ingetumika kupambana na umasikini tungekuwa mbali mfano:- yale magari ya polisi yakabebe mchanga tujenge shule zile bunduki za ffu zikalinde maduka majambazi wasiibe wale askali wanaolanda tena hawa wanajeshi wakalinde migodi tusiibiwe na wazungu na zile pembe za zinazoibiwa tanzania zinaenda hadi china mwe utajiri wetu ungebaki hapa hapa kukopa tena ulaya,na yale magari yanayorusha magari ya kurushsa maji ya kuwasha tuyapeleke zima moto hakuna soko lingeungua tena.
 
Nashangaa kwani Dodoma kuna wafuasi wa chadema?
Mie naona wamewaepushia aibu tu.
Mbona sijawahi kusikia maandamano Kilimanjaro?
Kuna nini? na kwanini swali hili huwa hailipati majibu sahihi?
 
Mikutano ya siasa ilishakatazwa hairuhusu wakati wa kipindi cha Bunge.Nyie mnavichwa kweli.Napata wasiwasi na watu waliomo humu ndani kama wako sawa

we ni m.w.e.h.u kweli, hvi unajua kukusanyika watu na kujadili mambo mbalimbali ni haki ya kikatiba? acha ukilaza wewe.
 
Mkuu kunataarifa kuwa wakati wa bunge dodoma hawaruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa hilo unalijua
 
tatizo letu Watanzania tumekua mazezeta mno, waoga wakubwa mnataka mabaliko lakini hamtaki kuyapigania na ccm imewajua,alipigwa ULIMBOKA kimya, akauwawa MWANGOSI vibaya napo kimya,likafungiwa Mwanahalisi hakuna mlichofanya sasa KIBANDA, na ccm wanaendelea kufanya ubabe bungeni kimya baada ya hapo wataanza kuua wanasiasa napo mtakaa kimya kazi kulalamika tu mkiitwa kufanya maandamano kupinga huu upuuzi mnajifanya mko busy suburini tu ccm itafanya jambo kubwa labda litawaamsha usingizini.

I concede with you. No real democracy which is a right of any human being can be given on a silver plate. Some one somewhere must fight for it for the interest of the majority who will survive. Remember, sacrifice is a must towards a real democracy.
 
Back
Top Bottom