Mkuu wa mkoa na Polisi wapiga marufuku M4C Kanda ya Kati

tatizo letu Watanzania tumekua mazezeta mno, waoga wakubwa mnataka mabaliko lakini hamtaki kuyapigania na ccm imewajua,alipigwa ULIMBOKA kimya, akauwawa MWANGOSI vibaya napo kimya,likafungiwa Mwanahalisi hakuna mlichofanya sasa KIBANDA, na ccm wanaendelea kufanya ubabe bungeni kimya baada ya hapo wataanza kuua wanasiasa napo mtakaa kimya kazi kulalamika tu mkiitwa kufanya maandamano kupinga huu upuuzi mnajifanya mko busy suburini tu ccm itafanya jambo kubwa labda litawaamsha usingizini.

CCM ni genge la wahuni mpaka watu yawakute ndio wanapowaelewa personal i have had enough with these marauders. Binafsi nimeamua kuchukua vita vyangu personal kwanza ni exhaust the law channels ikishindikana na mimi naanza kuandamana.

Kuna huyo Mmbunge wa Mafia sijui bwana Shah, kaamia hapo nyumba jirani dude is becoming a nonsense someone needs to pay him a visit soon rather than later.
 
Ccm hamuwezi zuiya jua kwa ungo , mabadiliko hayahepukiki

Mjukuu wa waKenya analiona hivi

Change Doctrine B.jpg
 
Wakati M4C KANDA YA
KATI maandalizi yake yakiwa YAMEKAMILIKA.

Taarifa nilizosikia muda si mrefu ni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa
kushirikiana na Jeshi la polisi wamesema ole wao CHADEMA wajitokeze
kiama chao watakiona.

Tayari Ulinzi mkali kuanzia usiku huu umeimarishwa huku Magari ya
Kuwasha pamoja na Defender zaidi ya 100 zinaranda randa kila kona.

Sababu zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa: '' Bunge linaendelea....''

Polisi: ''....mchungaji Mwakasege amewahi UWANJA kabla ya CHADEMA...''

Source: WAPO FM.
----- la cmba 100 linaloongozwa na kondoo 1 linawezwa shindwa na kundi la kondoo 100 linaloongozwa na cmba 1.2nawatazama viongoz we2
 
Msharahara wa polisi haufikii hata robo ya :bounce::bounce: mbunge alafu bado wanatetewa na cdm hawalijui hilo.
 
Wakati M4C KANDA YA KATI maandalizi yake yakiwa YAMEKAMILIKA.

Taarifa nilizosikia muda si mrefu ni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Jeshi la polisi wamesema ole wao CHADEMA wajitokeze kiama chao watakiona.

Tayari Ulinzi mkali kuanzia usiku huu umeimarishwa huku Magari ya Kuwasha pamoja na Defender zaidi ya 100 zinaranda randa kila kona.

Sababu zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa: '' Bunge linaendelea....''

Polisi: ''....mchungaji Mwakasege amewahi UWANJA kabla ya CHADEMA...''

Source: WAPO FM.

Safi sana. Hatutaki maandamano yasiyo na tija kwa Taifa. Waandamane na familia zao!
 
Mapema ipi unayoisema????
Navyojua semina za mwl. Mwakasege zinaandaliwaga almost more than one month before!
Kama CHADEMA wanataka kufanyia kwenye uwanja huo huo wa barafu then kuhusu Mwl. Mwakasege kuwahi hao Polisi watakuwa sahihi!!
Ila hilo lingine la uwepo wa wabunge huo ni usanii tu!

Cha muhimu CHADEMA wabadili uwanja wa mkutano!!



nimependa ulivomalizia mkuu Tangopori
 
Last edited by a moderator:
Embu basi kuwe na ziara za kuwatembelea wafanya biashara wadogo, wakulima, wanafunzi, walimu mashuleni na sehemu zingine za jamii kusikiliza kero zao, kila siku mikusanyiko na wauni tu khaa, inachosha kusoma sasa mambo yaleyale kila kukicha.

Hujawahi kusikia wahuni wakimchagua Rais au Mbunge na akawaongoza hata wasio wahuni? Kama wahuni ni majority then CDM wako in the right direction. Na hiyo ndiyo siasa mkuu.
 
tatizo letu Watanzania tumekua mazezeta mno, waoga wakubwa mnataka mabaliko lakini hamtaki kuyapigania na ccm imewajua,alipigwa ULIMBOKA kimya, akauwawa MWANGOSI vibaya napo kimya,likafungiwa Mwanahalisi hakuna mlichofanya sasa KIBANDA, na ccm wanaendelea kufanya ubabe bungeni kimya baada ya hapo wataanza kuua wanasiasa napo mtakaa kimya kazi kulalamika tu mkiitwa kufanya maandamano kupinga huu upuuzi mnajifanya mko busy suburini tu ccm itafanya jambo kubwa labda litawaamsha usingizini.

Taratibu Watabadilika Tu...
 
Hujawahi kusikia wahuni wakimchagua Rais au Mbunge na akawaongoza hata wasio wahuni? Kama wahuni ni majority then CDM wako in the right direction. Na hiyo ndiyo siasa mkuu.
Ni hivi CDM inabidi wakae chini wachore plan mpya, mimi sitokuwa wa kwanza kusema kwa sasa muongozo unaonekana lege-lege only those within can not see that but it is apparent to the outsiders.

Ukweli ni kwamba wengi sana wamechoka na CCM kitambo kutokana na kero nyingi za jamii kelele za nani mdini is not part of the social problem wengine tulikuwa na wazazi wa dini tofauti sasa putting so much effort on those lines is annoying because those were not the real problems only now they are becoming kwakuwa zimepewa so much emphasis na baadhi ya viongozi wa CDM kwenye kutaka kuonyesha CCM ilivyo wabaya.

On the other hand there are some serious issues need to be addressed like i said mimi for the first in a while i have to take a plane in the coming month because of CCM and some government workers. Yaani these people wakishirikiana na huyo Mh. Shai are getting personal sasa na sisi lazima tujue kusuka ama kunyoa as a family, kungekuwa na sheria wala tusingeyasikia were is opposition on making sure the law works (i think i said that when i was a junior member back in 2009, without a stable legal system CCM can abuse the nation).

Well yamenikuta so i need to fight my battle in person, nyie kama mnataka kuendelea na ushabiki wa wahuni kazi kwenu, but ppl are tired of CCM ki kwelikweli but were do they turn to for the alternative.
 
Mkuu kwa hilo la defender sikubaliani nalo ila ukisema kuna usalama nakubali maana dodoma no ndogo sna. Japokuwa ina plan since 1972.kuwazuia chadema ni kuwajenga ila kuwaruhusu ukali unapungua
 
Hayo maandamano yenu kafanyieni Himo, Kilimanjaro.

Chadema ni nchi nzima ni kama moto unavyoenea katika majan makavu,sio kilimanjaro tu hata huku kwetu ushirombo ndo usipime ni zaidi ya tz nadhan haaaaah mtajipanga lumumba hadi vidole viote sugu
 
Back
Top Bottom