Mkuu wa mkoa na Polisi wapiga marufuku M4C Kanda ya Kati

Nape ana tumbo kuuubwa kama ana mimbavile...

Magonjwa wa Kuhara (Diarrhoeal diseases) hayataisha Africa kwa uzembe.......; Moja ya kinga kubwa ni Kunawa kwa sabuni kabla ya kula.... Ukiangalia hiyo picha, ni wazi kuwa hawa jamaa hawakunawa licha ya kusalimiana salimiana hovyo hovyo
 
Mnyika kawasilisha hoja ya maji jimboni kwake kwa umburula wa wabunge wa CCM ikapigwa chini.....
Sasa CCM nao wamekuja na hoja ya Bangi kama hoja na kero ya wananchi!
It depends on how you perceive an argument!

Hoja ya Mnyika kuhusu maji haikupigwa chini, Maji ni tatizo la kitaifa. Alishauriwa aibadilishe hoja yake isiwe ya jimbo lake tu ila iwe ya sera ya kitaifa uliona matokeo yake, aligoma na haikujadiliwa bungeni
 
maskini babe wa watu, ah!! Duniani watu jamani wabaya!! Babe wa watu, babe huyu kipindi kile nyota yake inang'aa, basi akisema nape basi si magazeti hayo, si maredio hayo, si ma-tv, basi kila kona nape-nape, ah sikuizi nyota imeshafunikwa, ah.. Anatema speech lakini hata mbu haimgusi, babe wa watu kaishia kulazake vitumbua, hata like tangazo la who, la kufunika vyakula tulavyo alikumbuke wapi, nyota ikifunikwa shida mtindo mmoja, chezea watu.. Watu wabaya nakwambia.. Kha waleta maskhara!?

jinsi walivyo hawazijali hata afya zao wenyewe, wote wamekula hata bila kunawa mikono. Wanajali kula kwanza halafu afya badae. Duh!
 
Hawa ccm wanafkiri nguvu ya mabadiliko inazuiwa kiivo. Wamebug meen,hata hivyo c huwa wanajipambanua kua wao ndio wana hoja za kulisaidia taifa na cdm hawana la maana c wawaache chadema wakaeleze hizo pumba zao naamini wananchi wataamua cyo kuwazuia,
 
mpumbavu ukimchanganya na ngano ukamtwanga UPUMBAVU WAKE HAUISHI!NAONGEA NA MWENYE MBWA na si wewe MBWA,utabaki na ukabwela wako wa chama cha mafisadi.
 
Walichobakiza CCM sasa hivi ni kutumia nguvu tu dhidi ya CHADEMA, sababu zilizotolewa hazina maana yeyote.
 
Hivi Polisi wetu nao wataendelea kutumika hivi kama "always" hadi lini? Yaani nao hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria iliyowaweka na kuwapa mamlaka bali kwa maagizo ya wezi? Au ndiyo kusema na wenyewe wanafikiria kwa kutumia "masaburi"? Mwema na wenzako mnajiabisha kwa ukibaraka wenu,au ndiyo hivyo tena kulinda serikali ya shemeji?
 
Hivi Polisi wetu nao wataendelea kutumika hivi kama "always" hadi lini? Yaani nao hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria iliyowaweka na kuwapa mamlaka bali kwa maagizo ya wezi? Au ndiyo kusema na wenyewe wanafikiria kwa kutumia "masaburi"? Mwema na wenzako mnajiabisha kwa ukibaraka wenu,au ndiyo hivyo tena kulinda serikali ya shemeji?

Hivi, usalama wa taifa ni sehemu ya jeshi la polisi au la kujenga taifa? hivi hao jamaa wanakutana wapi?
kama kuna sehemu wanakutana, au hawakutani lakini wote ni walinzi wa usalama wa nchi na raia kwa ujumla.

Sasa kwa mantiki hiyo Chadema inapowashambulia Usalama wa Taifa, unatarajia Polisi wakutendee vizuri? Kwani hao si wana bosi mmoja wa juu??.
Mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake!.


Ushauri wa bure: Chadema wakaombe kuzindua M4C kwenye viwanja vya Kanisa.
 
haina noma! natabiri mwisho wa magamba utakuwa mbaya sana, na ccm itatoweka kabisa kwenye ramani ya Tanz na duniani kote. itabaki historia tu.
 
Hayo maandamano yenu kafanyieni Himo, Kilimanjaro.


wewe sumu una matatizo ya akili na yawezekana upo mupo to kana nzi. himo kuna nini? may be umedhani chadema wana watu himo? himo ni ccm na tlp lakini kwa ujinga ulo nao unajiandikia tyu. by the way intension ya mkutano wa chadema sio maandamano. na kumbuka unavyojiita sumu kweli wewe ni sumu angamizi. nakumbuka tukiwa chuo ukiwapata irrelevant materials ndo toliyaita sumu.
 
Sumu acha kauli za KISENGE-nyaji :mad::mad::mad:

yaani hiki kiumbe haistahili kivute hewa ya wastaarabu wa dunia hii. yawezekana kana laana kwani maneno yake kila wakati ni ya kishenzi kwani hata vichaa wana kauli nzuri kulikoni huyu sumu.
 
Umeambiwa mkutano....wewe kwa umbumbumbu umeibuka na maandamano....acheni ujinga na upuuzi....mtaogopa mabadiliko mpaka lini?

wewe ndio mjinga na mpuuzi. mabadiliko fanya nyumbani kwako wewe, baba yako, mkeo , mtoto wako,shangazi yako, etc. Mabadiliko ya wapenda fujo na maandamano??? mtakesha sana humu jf, mtaandaamana sana, mtapiga kelele sana na M4C yenu ila IKULU mtaendelea kupasikia redioni. Shame on You! Nenda kwa slaa akupe malipo yako.
 
Tusiwaogope hao ambao uwezo wao ni kuua mwili tu lakini hawana uwezo wa kuiua roho. Mwisho wa siku cdm itakuwa mshindi
 
yalikuwa ni maandamano au uzinduzi wa kanda ya kati jamani.ndio tatizo la kukariri mambo.hata kama wangeandamana kuna tatizo gani wakati ni haki yao ya kikatiba?
 
Back
Top Bottom