Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mawazo mbadala yalenge maendeleo sio matusi au kujijenga kisiasa
Ama kumbe kujijenga siasa imeshakuwa jinai tayari?
Mawazo mbadala yalenge maendeleo sio matusi au kujijenga kisiasa
Mkuu umeenda Dodoma?Lowassa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Akikubli Mawazo mbadala mtamtukana kama Mtangulizi wake. Acheni tuonje ladha tofauti ya utawala.Katika utawala wa Magufuli tusitegemee kupata maendeleo yeyote.Mtu gani hataki mawazo mbadala hataki aambiwe sehemu gani anafanya vibaya ili aboreshe
Kwa hiyo Olesendeka yeye ruhusa kuwasema wapinzani? je kauli zake juu ya kuwashambulia UKAWA huwa ni za kulijenga taifa?Mheshimiwa mkuu wamkoa wa Mara aka kanda maalumu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa isiyo na tija atika jitihada za maendeleo zilizoanzishwa na Rais Magufuli.
Mheshimiwa Mlingwa ameyesama haya wakati akipokea taarifa ya uchaguzu mkuu 2015 kutoka NEC.Ambapo imeonekana amanani ya Mara imeimarika kiasi cha kuanza kuvuti wawekezaji!
Chadema kama mnataka kuwa na mkutano basi mkutano huo uhusiane na juhudi za Rais za kupambana na rushwa,kutengeneza madawati au mambo muhimu ya maendeleo kwa Taifa...sio mkutano wa kuekezea sababu za kumsusia Tulia.
Kwa habari zaidi source ni Itv
Kaz ipo hii SERIKALIMheshimiwa mkuu wamkoa wa Mara aka kanda maalumu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa isiyo na tija atika jitihada za maendeleo zilizoanzishwa na Rais Magufuli.
Mheshimiwa Mlingwa ameyesama haya wakati akipokea taarifa ya uchaguzu mkuu 2015 kutoka NEC.Ambapo imeonekana amanani ya Mara imeimarika kiasi cha kuanza kuvuti wawekezaji!
Chadema kama mnataka kuwa na mkutano basi mkutano huo uhusiane na juhudi za Rais za kupambana na rushwa,kutengeneza madawati au mambo muhimu ya maendeleo kwa Taifa...sio mkutano wa kuekezea sababu za kumsusia Tulia.
Kwa habari zaidi source ni Itv
Wewe hicho ulichokiandika umeweka mfano?Kauli gani kwa mfano
Nipo dodoma tayari tangu nusu saa iliyopitaMkuu umeenda Dodoma?
Lazima kielewekeMkuu umeenda Dodoma?
Utkauka koo lako na vidole kuota sugu,lowasa ni kiboko ya ma ccmFisadi hoyeeerrrrreeeeeeeee