Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Jingalao kwetu Mara hatubwekewi tuliwahi kupandisha bendera ya chui kumbuka eh
Raisi yupi bestfriend wa kagame au raisi yupi anaeleta maendeleo,which president sielewi naona sura tofauti kika siku oohh raisi anaetaka kuwaokoa maskini,raisi yupi haswa ambae mpaka sasa wananchi wengi waliokua na imani nae tunazidi kupungua you tell me ni raisi yupi?Safi sana hawa ndio aina ya viongozi tunaowahitaji kwa sasa huu ni mda wa kazi sio majungu na kumkwamisha Rais asifanye kazi.
Hizo siasa uchwara hatuzitaki. Tangu lini chama kikapangiwa na serikali agenda za mikutano? Huo ni UJUHA.Unataka kusema tu kama kasuku??
Tunataka useme kwa mustakabali wa maendeleo ya Taifa
Tuipongeze serikali ya chama chetu kwa mafanikio hayo.Ila bro serikali ya awamu ya tano imefanya makubwa na imejtahid sana wala co yakubezwa kwa maana sukari huku kwetu dar ni 1800, cement ni 8000 alaf wala kodi za benki sisi hazituhusu alaf na ile kodi ya 1000 kwa mwezi ya laini za simu pia haipo.. Ccm mbele kwa mbele #nchiyamwendokasi
Nilijua tu, akishasema mkubwa kila mtu anaitikia kwa mwangwi au kukariri maneno kama kasuku. Siku mkubwa akisahau kufunga zip, wakuu wa mikoa, wilaya, na askari wote watafanya hivyo hivyo ili kuunga mkono harakati na juhudi zake za kuwaletea maendeleo wananchi wake.Mheshimiwa mkuu wamkoa wa Mara aka kanda maalumu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa isiyo na tija atika jitihada za maendeleo zilizoanzishwa na Rais Magufuli.
Mheshimiwa Mlingwa ameyesama haya wakati akipokea taarifa ya uchaguzu mkuu 2015 kutoka NEC.Ambapo imeonekana amanani ya Mara imeimarika kiasi cha kuanza kuvuti wawekezaji!
Chadema kama mnataka kuwa na mkutano basi mkutano huo uhusiane na juhudi za Rais za kupambana na rushwa,kutengeneza madawati au mambo muhimu ya maendeleo kwa Taifa...sio mkutano wa kuekezea sababu za kumsusia Tulia.
Kwa habari zaidi source ni Itv
Hii ndio tanzaniaMadawati yatawafundisha wanafunzi?
Kwani wanapokosoa si kwa maendeleo ya taifa?punguza ushabiki usio na tijaUnataka kusema tu kama kasuku??
Tunataka useme kwa mustakabali wa maendeleo ya Taifa
Yeye ni nani kwenye katiba ya nchi?Mheshimiwa mkuu wamkoa wa Mara aka kanda maalumu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa isiyo na tija atika jitihada za maendeleo zilizoanzishwa na Rais Magufuli.
Mheshimiwa Mlingwa ameyesama haya wakati akipokea taarifa ya uchaguzu mkuu 2015 kutoka NEC.Ambapo imeonekana amanani ya Mara imeimarika kiasi cha kuanza kuvuti wawekezaji!
Chadema kama mnataka kuwa na mkutano basi mkutano huo uhusiane na juhudi za Rais za kupambana na rushwa,kutengeneza madawati au mambo muhimu ya maendeleo kwa Taifa...sio mkutano wa kuekezea sababu za kumsusia Tulia.
Kwa habari zaidi source ni Itv
Huyu haelewi kitu achana nae, kwani we humjui mkuu?Kwa
Kwani wanapokosoa si kwa maendeleo ya taifa?punguza ushabiki usio na tija
Exactly.Mwaka huu MNA Kazi kwelikweli njia rahisi in kuvifuta vyama vya upinzani ibaki ccm ilete maendeleo licha ya kupambana miaka 50 bila kufanikiwa
Ni swali la kujiuliza kakaSwali langu mikutano inazuia vipi maendeleo anayoyaleta maghu,
Mwambie aendelee na matamko yake yasiyo ya hakiSio kwa kipindi hiki cha Magu
Well saidMheshimiwa mkuu wamkoa wa Mara aka kanda maalumu amepiga marufuku mikutano ya kisiasa isiyo na tija atika jitihada za maendeleo zilizoanzishwa na Rais Magufuli.
Mheshimiwa Mlingwa ameyesama haya wakati akipokea taarifa ya uchaguzu mkuu 2015 kutoka NEC.Ambapo imeonekana amanani ya Mara imeimarika kiasi cha kuanza kuvuti wawekezaji!
Chadema kama mnataka kuwa na mkutano basi mkutano huo uhusiane na juhudi za Rais za kupambana na rushwa,kutengeneza madawati au mambo muhimu ya maendeleo kwa Taifa...sio mkutano wa kuekezea sababu za kumsusia Tulia.
Kwa habari zaidi source ni Itv