Mkuu, Njaa mbaya hasa ikipanda kichwani, lazima wajitoe ufahamu.Daaaaa kumbe wanapigania tumbo na siyo maendeleo ya watanzania?
Kuna wakati mwingine mjinga na mwelevu wote huwa sawaNdio maana sitaki kuwa Dr au Prof wakati mwingine ni sawa na kujishushia heshima mchana kweupe.
Bendera zote huwa zinafuata upepo, watakula wapi wasipofanya hivyo
Utakamatwa wewe... unaleta Uchochezi! Mwenzio yupo Kenya huko kaenda kuuza Nyota yake maana Bongo hailipi tenaLowassa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
NAKUBALIANA NA WEWEKatika utawala wa Magufuli tusitegemee kupata maendeleo yeyote.Mtu gani hataki mawazo mbadala hataki aambiwe sehemu gani anafanya vibaya ili aboreshe
Mbele ndio wapiKunaupinzani na makapi ya upinzani.....upinzani upo mbele kwa wanaojua nn maana ya upinzani
Unataka kusema tu kama kasuku??
Tunataka useme kwa mustakabali wa maendeleo ya Taifa
AmenUnaujua huo mustakabali wa maendeleo ya Taifa??Taifa haliwezi kuongozwa na fikra za mtu mmoja,lazima mawazo mbadala yatolewe!Hii kufata mkumbo bila kuhoji haina afya kwa Taifa!Katiba ndio muongozo mkuu wa nchi,katiba imetoa uhuru wa kujieleza!
"Ukiona kiongozi anavunja katiba,hata kama huyo kiongozi ni mzuri hatufai"-By Nyerere
Mawazo mbadala yalenge maendeleo sio matusi au kujijenga kisiasa
Watu wachache sana nyie.Safi sana hawa ndio aina ya viongozi tunaowahitaji kwa sasa huu ni mda wa kazi sio majungu na kumkwamisha Rais asifanye kazi.
Mwaka huu MNA Kazi kwelikweli njia rahisi in kuvifuta vyama vya upinzani ibaki ccm ilete maendeleo licha ya kupambana miaka 50 bila kufanikiwa
Mwaka huu MNA Kazi kwelikweli njia rahisi in kuvifuta vyama vya upinzani ibaki ccm ilete maendeleo licha ya kupambana miaka 50 bila kufanikiwa