Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,028
Mh. Rais pole na majukumu tuliyokukabidhi watanzania. Ombi kwako ili wananchi wa Rukwa tupige angalau hatua mbili kimaendeleo ni wakati wako sahihi wa kutubadilishia Mkuu wa Mkoa.
Mkoa wa Rukwa ni moja ya mikoa iliyochelewa kupata maendeleo ukizingatia na umri wake wa miaka 50 tatizo kubwa ni aina ya wakuu wa mikoa wanaiteuliwa. Mkoa wa Rukwa ulipata maendeleo ya muda mfupi ulipokuwa chini ya Hayati Tumain Ile Kiwelu, hakika yule alikuwa kiongozi wa maendeleo na Mungu ampe pumziko.
Tunakuomba Mh. Rais tubadilishie Mkuu wa Mkoa na mkoa wa Rukwa unataka viongozi wafuatiliaji kama Mh. Mtaka RC wa Njombe.
Mkoa wa Rukwa ni moja ya mikoa iliyochelewa kupata maendeleo ukizingatia na umri wake wa miaka 50 tatizo kubwa ni aina ya wakuu wa mikoa wanaiteuliwa. Mkoa wa Rukwa ulipata maendeleo ya muda mfupi ulipokuwa chini ya Hayati Tumain Ile Kiwelu, hakika yule alikuwa kiongozi wa maendeleo na Mungu ampe pumziko.
Tunakuomba Mh. Rais tubadilishie Mkuu wa Mkoa na mkoa wa Rukwa unataka viongozi wafuatiliaji kama Mh. Mtaka RC wa Njombe.