LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Mkuu wa mkoa Manyara unapotaka sisi wafanyakazi wa migodini Mirerani tulipwe mishahara unaelewa makubaliano yetu au unakurupuka tu.
Sisi wafanyakazi wa migodini tupasenti tunazopewa madini yanapotoka,sasa unapokuja na mambo yako ya mishahara huoni kuwa sisi ndio tutakuwa tunapoteza haki zetu?
Tumtolee mtuu madini ya bilioni 10 alafu unaambulia laki 4 kwa mwezi hiyo sio sawa.Kama unatupenda sana wafanyakazi wa migodini pigania tuwe tunalipwa pasenti zetu zinazostaili.
Sisi wafanyakazi wamigodi tunachama chetu tungetaka mishahara chama kingeongea na wamiliki wa migodini.
Siasa na kutafuta sifa sio kila mahali inangia ungeuliza makubaliano hakuna fala mirerani anayekwenda kufanyakazi asijue haki yake.
Ni hayo tuu usilete mambo yasio wezekana tunaridhika na chakula tunachopewa matibabu, hela ya kujikimu kila wiki hayo ya mishahara yatatukosesha mengi.
Sisi wafanyakazi wa migodini tupasenti tunazopewa madini yanapotoka,sasa unapokuja na mambo yako ya mishahara huoni kuwa sisi ndio tutakuwa tunapoteza haki zetu?
Tumtolee mtuu madini ya bilioni 10 alafu unaambulia laki 4 kwa mwezi hiyo sio sawa.Kama unatupenda sana wafanyakazi wa migodini pigania tuwe tunalipwa pasenti zetu zinazostaili.
Sisi wafanyakazi wamigodi tunachama chetu tungetaka mishahara chama kingeongea na wamiliki wa migodini.
Siasa na kutafuta sifa sio kila mahali inangia ungeuliza makubaliano hakuna fala mirerani anayekwenda kufanyakazi asijue haki yake.
Ni hayo tuu usilete mambo yasio wezekana tunaridhika na chakula tunachopewa matibabu, hela ya kujikimu kila wiki hayo ya mishahara yatatukosesha mengi.
