nzaghamba
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,231
- 1,472
Nakubaliana na wewe(mchango ulikuwepo kiasi fulani kidogo sana)isipokuwa ni kwa wachache sana kulinganisha na uwiano wa wafanyakazi(wachimbaji)waliopo na ningependa ufahamu asilimia kubwa waliokuwa wananufaika pindi madini yakitoka ni wamiliki wa migodi na baadhi ya masterling(ambao wengi ni ndugu wa wamiliki wanaoletwa baada ya madini kutoka huku wakiwasukuma kando waliovuja jasho kipindi mawe hayajaanza kutoka(buti) sasa kwa mfumo huu serekali imeazimia kuondosha huo mfumo(naweza kuuita ni unyonyaji na utumwa flani hivi) haiwezekani mtu amefanya kazi miaka mingi(anakata buti)halafu madini yakianza kutoka analeta ndugu na jamaa zake waje kudhibiti waliovuja jasho miaka mingi bila malipo na huna pa kulalamikaMiji ya Arusha na manyara na kwingineko mikoani kuna michango mikubwa ya kimaendeleo inayotokana na fedha wanazopata wafanyakazi wa migodini. Tatizo wengi wetu ni wafujaji huwa tukipata tunafanya starehe baada ya muda kidogo tuna tia huruma. Yangu macho....
WALIOKUWA WANANUFAIKA NI WACHACHE MNO DHIDI YA WENGI WALIOKUWA WAKIVUJA JASHO aidha kwa kujitambua au kwa kutokuwa na uelewa mzuri wa kutambua...sheria zinazokuja ni ukombozi kwa wengi na ndilo jukumu la serekali kuwasaidia wananchi wake dhidi ya wanyonyaji wachache kama hao