Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,605
- 8,734
Sija bahatika kuwa maeneo ya kwako ukishika nyazifa za mikoa kama mkuu wa mkoa.
Ila kuna muda umekuwa stand up comedy kuliko uongozi yako.
Mtu ukishakuwa kwenye steji ya kuwaongoza watu sio kila mda unatoa meneno ambayo utafakari maana mda wote watu wanataka kukusikiliza na hatma yao.
Ili suala la mafuriko,umeme na sukari unavoliongea kama kungekuwa na kutunuku shaada ya DKT tungekupa ya comedy.
Ila kuna muda umekuwa stand up comedy kuliko uongozi yako.
Mtu ukishakuwa kwenye steji ya kuwaongoza watu sio kila mda unatoa meneno ambayo utafakari maana mda wote watu wanataka kukusikiliza na hatma yao.
Ili suala la mafuriko,umeme na sukari unavoliongea kama kungekuwa na kutunuku shaada ya DKT tungekupa ya comedy.