Mkuu wa Mkoa Bora na Mkuu wa Mkoa bomu

Mkuu wa Mkoa Bora na Mkuu wa Mkoa bomu

Hakuna bora kama Antony Mtaka. Huyu anapaswa awe Rais kabisa. Very smart guy in every thing. Hana mihemko ya Kibashite au Kimnyeti au lile jamaa la Mtwara. Sijui majitu mengine JIWE aliyaokota wapi!
 
1. Mwanri- amesimamia ipasavyo miradi yote mikubwa Mkoani mwake. Anapambana na changamoto ya Ndoa na Mimba za utotoni ipasavyo. Kampeni Yake ya upandaji miti Ni kampeni inayoonesha Mafanikio. Pia ameanza kuvutia wawekezaji Mkoani mwake. Mwisho, Serikali Mkoani Tabora ilikuwa ya Majungu, Urasimu, Majungu, kwa Sasa amefanikiwa kuwaunganisha Viongozi Wote ingawa bado wapo wachache ambao Ni vilaza.
2. Anthony Mtaka: Ni mjanja, ana exposure, Hana Siasa za Kipuuzi Wala kujipendekeza, kapewa Mkoa ulio nyuma Sana kimaendeleo. Amefanikiwa kuwavutia Wafadhili mbali mbali Mkoani mwake hususani katika Sekta ya Afya. Anabuni na kuanzisha miradi inayovutia wawekezaji, naona anataka kuinua pia Sekta ya Michezo Mkoani mwake.

So far, these, to me, are the Best RCs in Tanzania.
The WORSE ONES:
1. ALLY HAPI:Ni kijana wa Hovyo kuliko Vijana Wote katika Awamu hii akifuatiwa na yule DC wa Hai Ole Sabaya. Kwa vigezo vyovyote vile, Mh. Rais,licha ya kutopangiwa, but the two don't deserve any post in your government if you really mean business.
2. Chalamila: uccm umemjaa kuliko kazi ya ukuu wa Mkoa. Kiufupi Hana uwezo wa kiuongozi, very poor. Vipaumbele vyake Ni tofauti na vya Taifa.
3. Mnyeti: sioni anachokifanya zaidi ya kununua na kutisha Wapinzani.


Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda mbona simuoni hpo yupo kundi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si huyo hapo.


Huyo ndio Mhe.Aggrey Mwanri(Mzee wa Fyekelea Mbali) at HIS BEST...!!!.
Hii twaweza kusema ni kufanya kazi bila Pressure....!!!Safi sana Mhe. Mwanri kwa kweli kuna haja ya JPM kuwapeleka ma-RC na ma-DC wengine wachovu wakachote hikma, busara, maarifa na utendaji kazi uliotukuka..!!
 
Humfahamu wa Geita wewe, jamaa hana makeke kabisa, alipofika kule ni kama Geita kaibadiri sana, hadi taa za barabarani kaweka, maji ya kunywa ( nasikia kwa msaada wa mgodi) kaweka, kajenga bonge la SOKO na Geita sasa anaifanya itazamike kama mkoa badala ya wilaya, anajenga mabarabara kama hana akili nzuri. Huyo mtoto mpendwa wa Dar nadhani ipo sababu nyingine tu ya kupendwa kwake, amekaa ki kick kick zaidi
Taa hazina viwango zinatoa mwanga km torch hta hivyo zimetolewa ingawa bado sijajua sababu

Halafu sifa nyingine ulizompa sio zake ni za mkurugenzi kwa msaada wa benki ya dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taa hazina viwango zinatoa mwanga km torch hta hivyo zimetolewa ingawa bado sijajua sababu

Halafu sifa nyingine ulizompa sio zake ni za mkurugenzi kwa msaada wa benki ya dunia

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha ujinga wewe bashite...!!
Hivi unajua maana ya Uongozi au Chain of Command? Kati ya RC na Mkurugenzi awe wa Jiji, Manisapa au Halmashauri nani aliye chini ya mwenzake? Hivi unajua RC ni overseer wa ma-DED wote mkoani? Ukipata majibu njoo tuendeleze mjadala!.
 
LIST YANGU
1.Amos Makala-Katavi
2. Mwanri-Tabora
3. Mtaka-Simiyu

Wale ambao ni zero kabisa.
1.Gambo-Arusha
2.Manyara-Mnyeti sijui
3. Yule wa Mbeya
 
Acha ujinga wewe bashite...!!
Hivi unajua maana ya Uongozi au Chain of Command? Kati ya RC na Mkurugenzi awe wa Jiji, Manisapa au Halmashauri nani aliye chini ya mwenzake? Hivi unajua RC ni overseer wa ma-DED wote mkoani? Ukipata majibu njoo tuendeleze mjadala!.
Porojo at work!

Chain of command ipo kisiasa zaidi, lakini linapokuja suala la utendaji mkurugenzi ndyo key player

Yeye ndyo anaandaa mipango ya maendeleo ktk mkoa husika na kuipeleka hazina

Mkuu wa mkoa ni just a watch dog wa rais hakuna anachoweza kufanya anschofanya mkurugenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga wewe bashite...!!
Hivi unajua maana ya Uongozi au Chain of Command? Kati ya RC na Mkurugenzi awe wa Jiji, Manisapa au Halmashauri nani aliye chini ya mwenzake? Hivi unajua RC ni overseer wa ma-DED wote mkoani? Ukipata majibu njoo tuendeleze mjadala!.
Porojo at work!

Chain of command ipo kisiasa zaidi, lakini linapokuja suala la utendaji mkurugenzi ndyo key player

Yeye ndyo anaandaa mipango ya maendeleo ktk mkoa husika na kuipeleka hazina

Mkuu wa mkoa ni just a watch dog wa rais hakuna anachoweza kufanya anschofanya mkurugenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Porojo at work!

Chain of command ipo kisiasa zaidi, lakini linapokuja suala la utendaji mkurugenzi ndyo key player

Yeye ndyo anaandaa mipango ya maendeleo ktk mkoa husika na kuipeleka hazina

Mkuu wa mkoa ni just a watch dog wa rais hakuna anachoweza kufanya anschofanya mkurugenzi

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi unajua kwamba Mkurugenzi akiboronga kwenye Mradi RC ana haki ya kumtimua/kumkataa? RC ni kama head coach na ana haki ya kumkataa keyplayer(Mkurugenzi) mkoani kwake kama anacheza hovyo. Haya yametokea si mara moja au 2..Hujui kwamba Wakurugenzi wanaotumbuliwa na JPM chanzo ni ma-RC? Je, unakumbuka sekeseke la kutumbuliwa kwa Mkurugeenzi wa Jiji la Dar marehemu Kabwe.....??? Yaliyotokea ni historia.
 
Back
Top Bottom