Maana ya scientific management approach nikuelewa unawaongoza kuja na style inaondoa mikwamo,migogoro na kuleta ufanisi wenye mafanikio.ukishindwa kwenye managemnt approach hujui unachoongozaMh Gambo kwa vigezo vya uchapa kazi yupo juu, sema tu mkoa aliopelekwa kwa misimamo na kiwango cha uelewa wa upinzani ndivyo vinaweza kumwangusha lakini yuko vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
MhMwaka 2018 umemalizika juzi na kwa kweli kuna Watendaji wa Serikali ya Magufuli kwa ngazi ya Mkoa waliofanya vizuri na waliofanya vibaya. Kwa tathmini yangu binafsi nimechagua RC aliyekua bora kabisa kulingana na utendaji wake wa kazi lakini pia na RC alifanya vibaya kabisa.Vigezo ni:
Aliyepata alama za juu kabisa ni Mhe. Aggrey Mwanri- Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
- Usimamizi wa kazi na miradi ya Serikali.
- Mahusiano yake na Viongozi wengine hasa wa Upinzani.
- Anavyoitumia sheria ya masaa 24/48 kwa walio chini yake.
- Lugha na kauli zake kwa Jamii.
Anayefuatia hapo ni Mhe. Anthony Mtaka- Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
Aliyapta alama za chini kabisa ni Mhe. Ally Happy- Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Aliyefuatia kwa alama za chini kabisa ni Mhe. Mrisho Gambo- Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Karibuni kwa mjadala na maoni.
Huyo wa Geita toa... Kwanini ameshindwa kushawishi CIA (Chattle interneshino eyapoti) kujengwa hapo mjini GeitaTop three
1. Ndikilo - Pwani
2.Mtaka - Simiyu
3. Gabriel - Geita
Usimamizi miradi maendeleo, Hekima na Busara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2018 umemalizika juzi na kwa kweli kuna Watendaji wa Serikali ya Magufuli kwa ngazi ya Mkoa waliofanya vizuri na waliofanya vibaya. Kwa tathmini yangu binafsi nimechagua RC aliyekua bora kabisa kulingana na utendaji wake wa kazi lakini pia na RC alifanya vibaya kabisa.Vigezo ni:
Aliyepata alama za juu kabisa ni Mhe. Aggrey Mwanri- Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
- Usimamizi wa kazi na miradi ya Serikali.
- Mahusiano yake na Viongozi wengine hasa wa Upinzani.
- Anavyoitumia sheria ya masaa 24/48 kwa walio chini yake.
- Lugha na kauli zake kwa Jamii.
Anayefuatia hapo ni Mhe. Anthony Mtaka- Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
Aliyapta alama za chini kabisa ni Mhe. Ally Happy- Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Aliyefuatia kwa alama za chini kabisa ni Mhe. Mrisho Gambo- Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Karibuni kwa mjadala na maoni.
haaaaa hapo mbeya nistueni nimwandike sugu???List three
36. Hapi - Iringa
35. Mnyeti - Manyara
34. ............. - Mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mashindano nia yake sio nzuri.
Geita is the best ila si mtu wa kameraTop three
1. Ndikilo - Pwani
2.Mtaka - Simiyu
3. Gabriel - Geita
Usimamizi miradi maendeleo, Hekima na Busara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndikilo....Wakuu wamikoa bora wapo wawili tu.. Mtaka na Ndekilo wa pwani
hao ulio wataja wamekuwa kwa ajili ya vyombo vya habari kuwa beba tu.
1. Mwanri- amesimamia ipasavyo miradi yote mikubwa Mkoani mwake. Anapambana na changamoto ya Ndoa na Mimba za utotoni ipasavyo. Kampeni Yake ya upandaji miti Ni kampeni inayoonesha Mafanikio. Pia ameanza kuvutia wawekezaji Mkoani mwake. Mwisho, Serikali Mkoani Tabora ilikuwa ya Majungu, Urasimu, Majungu, kwa Sasa amefanikiwa kuwaunganisha Viongozi Wote ingawa bado wapo wachache ambao Ni vilaza.
2. Anthony Mtaka: Ni mjanja, ana exposure, Hana Siasa za Kipuuzi Wala kujipendekeza, kapewa Mkoa ulio nyuma Sana kimaendeleo. Amefanikiwa kuwavutia Wafadhili mbali mbali Mkoani mwake hususani katika Sekta ya Afya. Anabuni na kuanzisha miradi inayovutia wawekezaji, naona anataka kuinua pia Sekta ya Michezo Mkoani mwake.
So far, these, to me, are the Best RCs in Tanzania.
The WORSE ONES:
1. ALLY HAPI:Ni kijana wa Hovyo kuliko Vijana Wote katika Awamu hii akifuatiwa na yule DC wa Hai Ole Sabaya. Kwa vigezo vyovyote vile, Mh. Rais,licha ya kutopangiwa, but the two don't deserve any post in your government if you really mean business.
2. Chalamila: uccm umemjaa kuliko kazi ya ukuu wa Mkoa. Kiufupi Hana uwezo wa kiuongozi, very poor. Vipaumbele vyake Ni tofauti na vya Taifa.
3. Mnyeti: sioni anachokifanya zaidi ya kununua na kutisha Wapinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app