Mkuu wa Mkoa Bora na Mkuu wa Mkoa bomu

Mkuu wa Mkoa Bora na Mkuu wa Mkoa bomu

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
7,195
Reaction score
9,812
Mwaka 2018 umemalizika juzi na kwa kweli kuna Watendaji wa Serikali ya Magufuli kwa ngazi ya Mkoa waliofanya vizuri na waliofanya vibaya. Kwa tathmini yangu binafsi nimechagua RC aliyekua bora kabisa kulingana na utendaji wake wa kazi lakini pia na RC alifanya vibaya kabisa.Vigezo ni:
  1. Usimamizi wa kazi na miradi ya Serikali.
  2. Mahusiano yake na Viongozi wengine hasa wa Upinzani.
  3. Anavyoitumia sheria ya masaa 24/48 kwa walio chini yake.
  4. Lugha na kauli zake kwa Jamii.
Aliyepata alama za juu kabisa ni Mhe. Aggrey Mwanri- Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
Anayefuatia hapo ni Mhe. Anthony Mtaka- Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.





Aliyapta alama za chini kabisa ni Mhe. Ally Happy- Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Aliyefuatia kwa alama za chini kabisa ni Mhe. Mrisho Gambo- Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Karibuni kwa mjadala na maoni.
 
Mwaka 2018 umemalizika juzi na kwa kweli kuna Watendaji wa Serikali ya Magufuli kwa ngazi ya Mkoa waliofanya vizuri na waliofanya vibaya. Kwa tathmini yangu binafsi nimechagua RC aliyekua bora kabisa kulingana na utendaji wake wa kazi lakini pia na RC alifanya vibaya kabisa.Vigezo ni:
  1. Usimamizi wa kazi na miradi ya Serikali.
  2. Mahusiano yake na Viongozi wengine hasa wa Upinzani.
  3. Anavyoitumia sheria ya masaa 24/48 kwa walio chini yake.
  4. Lugha na kauli zake kwa Jamii.
Aliyepata alama za juu kabisa ni Mhe. Aggrey Mwanri- Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
Anayefuatia hapo ni Mhe. Anthony Mtaka- Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.





Aliyapta alama za chini kabisa ni Mhe. Ally Happy- Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Aliyefuatia kwa alama za chini kabisa ni Mhe. Mrisho Gambo- Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Karibuni kwa mjadala na maoni.

FaizaFoxy jongea umpe kwenzi kwa vile hakusoma andiko lako kuhusu mwanri
 
Mwaka 2018 umemalizika juzi na kwa kweli kuna Watendaji wa Serikali ya Magufuli kwa ngazi ya Mkoa waliofanya vizuri na waliofanya vibaya. Kwa tathmini yangu binafsi nimechagua RC aliyekua bora kabisa kulingana na utendaji wake wa kazi lakini pia na RC alifanya vibaya kabisa.Vigezo ni:
  1. Usimamizi wa kazi na miradi ya Serikali.
  2. Mahusiano yake na Viongozi wengine hasa wa Upinzani.
  3. Anavyoitumia sheria ya masaa 24/48 kwa walio chini yake.
  4. Lugha na kauli zake kwa Jamii.
Aliyepata alama za juu kabisa ni Mhe. Aggrey Mwanri- Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
Anayefuatia hapo ni Mhe. Anthony Mtaka- Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.





Aliyapta alama za chini kabisa ni Mhe. Ally Happy- Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Aliyefuatia kwa alama za chini kabisa ni Mhe. Mrisho Gambo- Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Karibuni kwa mjadala na maoni.


hao ulio wataja wamekuwa kwa ajili ya vyombo vya habari kuwa beba tu.
 
Write your reply...Naomba kipimo mlichotumia kupima busara
 
Back
Top Bottom