Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 7,195
- 9,812
Mwaka 2018 umemalizika juzi na kwa kweli kuna Watendaji wa Serikali ya Magufuli kwa ngazi ya Mkoa waliofanya vizuri na waliofanya vibaya. Kwa tathmini yangu binafsi nimechagua RC aliyekua bora kabisa kulingana na utendaji wake wa kazi lakini pia na RC alifanya vibaya kabisa.Vigezo ni:
Anayefuatia hapo ni Mhe. Anthony Mtaka- Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
Aliyapta alama za chini kabisa ni Mhe. Ally Happy- Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Aliyefuatia kwa alama za chini kabisa ni Mhe. Mrisho Gambo- Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Karibuni kwa mjadala na maoni.
- Usimamizi wa kazi na miradi ya Serikali.
- Mahusiano yake na Viongozi wengine hasa wa Upinzani.
- Anavyoitumia sheria ya masaa 24/48 kwa walio chini yake.
- Lugha na kauli zake kwa Jamii.
Anayefuatia hapo ni Mhe. Anthony Mtaka- Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
Aliyapta alama za chini kabisa ni Mhe. Ally Happy- Mkuu wa Mkoa wa Iringa
Aliyefuatia kwa alama za chini kabisa ni Mhe. Mrisho Gambo- Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Karibuni kwa mjadala na maoni.