Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,711
- 8,767
Si alighairisha huyu au kaambiwa na mkuu aende kuongena raia
Acha uchochezi wewe!!Utashangaa kesho hiyo hiyo anakufa mtu
Ni masanza kona au masanza one?Dila gawiza ng'wana Masanza
Gawiza naheneDila gawiza ng'wana Masanza
Masanza1Ni masanza kona au masanza one?
Ngoja na mm nitabiri. Huyu mkuu wa majeshi atazuru lkn hataona kitu. Na wauaji hawatafanya shambulio lolote ila akishatoka zikapita 2weeks kuna watu lazima wale shaba.Utaenda kuisaidia polisi rejea kauli ya Mwigulu akiwa bungeni leo
Kiswahili kiswahili kiswahiliSiyo habari za kweli hizo
...Gawiza Nkoyi....E segha..Dila gawiza ng'wana Masanza
Inasikitisha zaidi pale waziri anapodai wanao UAWA ni ccm!....Wauwaji ' wanaendelea ' Kuwauwa ' Watanzania wenzetu.
Inasikitisha, inaudhi na inauma sana tu.
Wauaji wanakaa nyumbani kwa Daud Bashite kesho akienda Bashite atawambia waende kessho yakeKibiti imepata umaarufu IGP Sirro ameenda two times, CDF nae anaenda.