Mkuu wa Majeshi kutembelea Kibiti kesho

Mkuu wa Majeshi kutembelea Kibiti kesho

anaenda kufanya nini sasa? Kwani ameskia ni vita mpaka akajionee kinacho endelea?
Waongeze nguvu tu kwenye intelijensia ili yeye aende kushuhudia kukamatwa kwao.

Kwani umeambiwa nguvu kwenye intelijensia imepungua?!
 
Mkono wa Serikali uko kwenye hatua nzuri kurudisha hali ya amani kwa Watanzania wenzetu kule kibiti na maeneo jirani.
Ni suala la kila mwananchi kutoa ushirikiano ili kukomesha haya mauaji ya trained snipers.
Tunaomba uvumilivu na moyo wa subira ndugu zangu.
Tusiweke lawama mbele bali tutangulize uzalendo
Isionekane sie tunaokosoa sio wazalendo. Si kweli kuwa watu hawaguswi na mauaji ya Kibiti. Ila askari 8 wanapouawa wakiwa na silaha zao ndani ya siku moja inaacha maswali mengi sana. Pia idadi ya watu ambao wamekwisha poteza maisha yao ni kubwa sana.

Sisi wengine tunaelewa suala la kibiti ni gumu, lakini hatupendi liongezewe ugumu kwa kuingiza siasa. Tungependa kuona ueledi unatawala. Bahati mbaya hatuoni huo weledi. Viongozi wa Jeshi kwenda na makamera kwa wahanga sio weledi. Ni show off tu ambazo mpaka leo zimeshindwa kutupa majibu.

Hivyo sio sahihi kusema tusilaumu wakati tuna idara ambayo inatakiwa iwe makini kugundua matatizo haya kabla hayajatokea. Tunalazimika kulaumu maana inaonekana hata idara yenyewe haina majibu wala haijui kinachoendelea.
 
Isionekane sie tunaokosoa sio wazalendo. Si kweli kuwa watu hawaguswi na mauaji ya Kibiti. Ila askari 8 wanapouawa wakiwa na silaha zao ndani ya siku moja inaacha maswali mengi sana. Pia idadi ya watu ambao wamekwisha poteza maisha yao ni kubwa sana.
....

Nakubaliana na hoja yako.
Kiukweli Serikali nzima hailali
Soon yatakoma haya...
Amini hivyo Ndugu yangu
 
Ushauri mbovu kuwahi kutokea...yaani Mkuu wa majeshi anaenda eneo la tukio tuliloambiwa ni wahuni tu? sasa nani atabaki nyuma yake kuandaa mikakati na kuyapitisha?

Sasa ripoti ambayo atatokanayo huko ndo final na ndo atamkabidhi Mkuu wake wa kazi je baada ya hapo tutegemee tena ripoti nyingine? na kutoka kwa nani
Ataenda na convoy la kutosha naona!

Ova
 
Akibandua mguu tu "chuma"
Hawa jamaa haifai hata kujificha uvunguni.
 
Wanapigana na adui itikadi na mioyo ya watu wa Rufiji Kibiti?? Ataweza?? KILA la kheri.....asafiri salama.....anaenda kuona nini? Kwani ukifika tu kuna kitu unakiona?? Au adui....yumo mioyoni??
 
Kama Tarime ilipoa na kibiti itapoa tu,cha msingi serikali ishirikishe wananchi kwenye vita hii
 
Mkuu nimepishana na msafara wake saa hizi asubuhi...wale sweepers wa kwenye gari safisha njia ya MP nadhani ni komanndo maana mwendo wa msafara ule sip wa nchi hii, kwa namna anavyochora bata bata (trafiki tupa kule) afu wamevaa na kofia ngumu na mashine nzito mkononi na wametokeza nje ya madirisha kabisa...aisee kilwa road yote imesimama kwa muda wanaume wapite kwenda zao kibiti...salute kwako CDF mabeyo , natumai utarudi na mwarobaini wa hao wauwaji wanaokosesha raia usingizi,.

Afu no mbwembwe za difenda sala gari za kutisha tisha ...full vx kama 5 na ile ya MP, ila hawajatuweka foleni, yaani tumetembea nao, ama kweli wajeda hawataki mchezo mchezo.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Mabeyo anategemea kuzuru wilaya ya Kibiti kesho kujionea kinachoendelea huko.

Je ni uamuzi sahihi kwa CDF kufika Kibiti?

Source
Azam News
 
Mwigulu si kasema walikuwa wengi sasa hivi washawamaliza wamebakia wachache mimi naona haina haja,Mwigulu atakomaa nao.
Mbona wakiuliwa hao waliokua wengi wakapungua hatusikii kwenye vyombo vya habari, ila wakiuwawa wananchi tunasikia na kupata habari mara moja??
Nini kinazuia kutangazwa mauaji ya hao wauaji??
Msaada please kwa anaeelewa hili
 
Ngoja na mm nitabiri. Huyu mkuu wa majeshi atazuru lkn hataona kitu. Na wauaji hawatafanya shambulio lolote ila akishatoka zikapita 2weeks kuna watu lazima wale shaba.
Natabiri tu
Not even two weeks.....
Siro alipokwenda tu, Siku ya pili yake aliuwawa migambo. JPM alipoongea kuwa hao wauwaji wanapata kipigo traffic wawili Wameuwawa. Sasa baada ya CDF tutaona kitakachofuata asubui yake tu
 
Nao wanaaibisha majeshi ya Tz kakibiti ndiyo kamewazungusha miezi yote hii.


Ingekuwa Alshabab au Qaida vipi
USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA.
CDF NI OVERALL INCHARGE WA AMANI YA INCHI.
AMRI JESHI MKUU NI RAIS, HUENDA AMEAMURU AENDE BAADA YA IGP KUELEMEWA.
KIMSINGI IGP ANATAKIWA KUJIUZURU KWA KUSHINDWA HII VITA YA NDANI.
 
Back
Top Bottom