minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,421
- 22,446
Kumbe wale polisi wote walikuwa ni CCM?Inasikitisha zaidi pale waziri anapodai wanao UAWA ni ccm!....
Kumbe wale polisi wote walikuwa ni CCM?Inasikitisha zaidi pale waziri anapodai wanao UAWA ni ccm!....
Matumizi mabaya ya pesa za Ummaanaenda kufanya nini sasa? Kwani ameskia ni vita mpaka akajionee kinacho endelea?
Waongeze nguvu tu kwenye intelijensia ili yeye aende kushuhudia kukamatwa kwao.
Wanachezea pesa za UmmaHakuna haja ya CDF kwenda kibiti.
Joint military and police operation. Majambazi ya Kibiti siyo mchezo.Serikali hii kila mteuliwa anataka aonekane anafanya kazi. Ukiuliza CDF anaenda kufanya nini ambacho IGP hajafanya alipoenda huko huwezi kupata majibu.
...Hapo sasa! Yaani sikuelewa kabisa alipo kuwa anatoa khoja muBunge alikuwa anafikiria mambo gani mukichwa yake..Kumbe wale polisi wote walikuwa ni CCM?
Usilaumu sana mubunge "colour blind" anaona kijani tu....Hapo sasa! Yaani sikuelewa kabisa alipo kuwa anatoa khoja muBunge alikuwa anafikiria mambo gani mukichwa yake..
jwtz na makomandoTungejulishwa Kwanza kwanini Ziara yake ambayo ilitakiwa kufanyika wiki iliyopita ilihairishwa ghafla pengine tungeweza sasa kuchangia kwa taarifa hii mpya ya Ziara yake ya Kesho huko Kibiti. Hata hivyo ' technically ' tu na hasa ' Kimedani ' sidhani kama hiyo ziara yake ina ulazima na sana sana naona itazidisha tu ' Hasira ' za Wauwaji hasa tukikumbuka kwamba wiki mbili nyuma Amiri Jeshi Mkuu na ambaye ni Bosi wake CDF Mabeyo Rais Dkt. JPM alijinasibu huku akijitapa mbele ya Watanzania kuwa hao ' Wauwaji ' wanakiona cha moto matokeo yake tu Kesho yake tukaona ' Watendaji ' wake ambao ni wale Matrafiki waliuwawa.
Kama Commander in Chief alipiga ' mkwara ' na Kesho yake tu ' Jamaa ' wakafanya yao je unadhani baada ya Ziara ya Chief of Defence Forces kesho ' tutawapoteza ' wangapi? Halafu katika ' medani ' ya masuala ya Kiusalama sidhani kama ni kitendo cha Kiuledi kwa ziara kama hii kutangazwa hasa ukizingatia kuwa yawezekana hata hawa ' Wauwaji ' wamepeana majukumu na kwamba labda wapo pia wenzao ambao kutwa wanashinda ' Mitandaoni ' kusoma ' mazingira ' na kisha wanawataarifu walio katika battle field. Najua fika kuwa Intelligence ya Kijeshi ( MI ) hasa ya Kitanzania ni imara sana ila kwakuwa tunapambana na Watu tusiowajua, hatujui lengo lao na mashambulizi yao ni very coordinated si busara kwa ziara hii kutangazwa kwa public kwani it is very risk.
Yawezekana tukitumia busara ndogo sana hili jambo likamalizika na tukayasahau haya mauaji ila kwa muendelezo huu wa kila siku kila mwenye mamlaka anakuja tu na matamko makali na ya hasira huenda ikatuchukua muda mrefu sana kumaliza hili tatizo. Hawa Wauwaji inaonekana ni well trained Snipers hivyo hata katika kuwakabili Kwake kunahitaji juhudi kubwa na mikakati mipana na siyo tu kufanya Ziara huko.
Kuna investigative articles nyingi sana zimeandikwa juu ya haya mauaji na hasa hasa kuna moja liliandikwa na Gazeti la MWANANCHI na nyingine wakaiweka online. Kama hizi mamlaka zingesoma vizuri ile article pamoja na zingine nadhani hizi mamlaka zingejua wapi kwa kuanzia kuliko kukurupuka huku kila mara kutaka kufanya ziara ili tu ku win the public ambayo sasa ina hofu. Kwa mfano sikuona pia sababu ya sisi Raia kutangaziwa kuwa askari wa JWTZ na ' Makomandoo ' baadhi wamepelekwa huko Kibiti bali hili lingebakia tu siri ya mamlaka husika. Sasa haingii akilini tunaambiwa Wanajeshi wa JWTZ na Makomandoo wapo huko kwa muda sasa lakini bado tu hawa ' Wauwaji ' wanaendelea ' Kuwauwa ' Watanzania wenzetu.
Inasikitisha, inaudhi na inauma sana tu.
jwtz na makomandoTungejulishwa Kwanza kwanini Ziara yake ambayo ilitakiwa kufanyika wiki iliyopita ilihairishwa ghafla pengine tungeweza sasa kuchangia kwa taarifa hii mpya ya Ziara yake ya Kesho huko Kibiti. Hata hivyo ' technically ' tu na hasa ' Kimedani ' sidhani kama hiyo ziara yake ina ulazima na sana sana naona itazidisha tu ' Hasira ' za Wauwaji hasa tukikumbuka kwamba wiki mbili nyuma Amiri Jeshi Mkuu na ambaye ni Bosi wake CDF Mabeyo Rais Dkt. JPM alijinasibu huku akijitapa mbele ya Watanzania kuwa hao ' Wauwaji ' wanakiona cha moto matokeo yake tu Kesho yake tukaona ' Watendaji ' wake ambao ni wale Matrafiki waliuwawa.
Kama Commander in Chief alipiga ' mkwara ' na Kesho yake tu ' Jamaa ' wakafanya yao je unadhani baada ya Ziara ya Chief of Defence Forces kesho ' tutawapoteza ' wangapi? Halafu katika ' medani ' ya masuala ya Kiusalama sidhani kama ni kitendo cha Kiuledi kwa ziara kama hii kutangazwa hasa ukizingatia kuwa yawezekana hata hawa ' Wauwaji ' wamepeana majukumu na kwamba labda wapo pia wenzao ambao kutwa wanashinda ' Mitandaoni ' kusoma ' mazingira ' na kisha wanawataarifu walio katika battle field. Najua fika kuwa Intelligence ya Kijeshi ( MI ) hasa ya Kitanzania ni imara sana ila kwakuwa tunapambana na Watu tusiowajua, hatujui lengo lao na mashambulizi yao ni very coordinated si busara kwa ziara hii kutangazwa kwa public kwani it is very risk.
Yawezekana tukitumia busara ndogo sana hili jambo likamalizika na tukayasahau haya mauaji ila kwa muendelezo huu wa kila siku kila mwenye mamlaka anakuja tu na matamko makali na ya hasira huenda ikatuchukua muda mrefu sana kumaliza hili tatizo. Hawa Wauwaji inaonekana ni well trained Snipers hivyo hata katika kuwakabili Kwake kunahitaji juhudi kubwa na mikakati mipana na siyo tu kufanya Ziara huko.
Kuna investigative articles nyingi sana zimeandikwa juu ya haya mauaji na hasa hasa kuna moja liliandikwa na Gazeti la MWANANCHI na nyingine wakaiweka online. Kama hizi mamlaka zingesoma vizuri ile article pamoja na zingine nadhani hizi mamlaka zingejua wapi kwa kuanzia kuliko kukurupuka huku kila mara kutaka kufanya ziara ili tu ku win the public ambayo sasa ina hofu. Kwa mfano sikuona pia sababu ya sisi Raia kutangaziwa kuwa askari wa JWTZ na ' Makomandoo ' baadhi wamepelekwa huko Kibiti bali hili lingebakia tu siri ya mamlaka husika. Sasa haingii akilini tunaambiwa Wanajeshi wa JWTZ na Makomandoo wapo huko kwa muda sasa lakini bado tu hawa ' Wauwaji ' wanaendelea ' Kuwauwa ' Watanzania wenzetu.
Inasikitisha, inaudhi na inauma sana tu.
Kinachohitajika ni intelligence kwa sasa. Hakuna operation bila intel. Some would say this is merely a show of power.Joint military and police operation. Majambazi ya Kibiti siyo mchezo.
Correction ni Mkuu wa Majeshi ya ulinzi (Airforce,Marine na aedhini,Vikosi vywa JWTZ) na sio Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na UsalamaMkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Mabeyo anategemea kuzuru wilaya ya Kibiti kesho kujionea kinachoendelea huko.
Je ni uamuzi sahihi kwa CDF kufika Kibiti?
Source
Azam News
Hazijapigwa kweli hizo rambi rambi ?Na leo ametoa hadi rambirambi
May b kuna Bakabaka ameuawa hukoSerikali hii kila mteuliwa anataka aonekane anafanya kazi. Ukiuliza CDF anaenda kufanya nini ambacho IGP hajafanya alipoenda huko huwezi kupata majibu.
Rudia kusoma ulichoandika.jwtz na makomando
Wameenda bt Zero
Mkono wa Serikali uko kwenye hatua nzuri kurudisha hali ya amani kwa Watanzania wenzetu kule kibiti na maeneo jirani.Kinachohitajika ni intelligence kwa sasa. Hakuna operation bila intel. Some would say this is merely a show of power.
Nao wanaaibisha majeshi ya Tz kakibiti ndiyo kamewazungusha miezi yote hii.
Ingekuwa Alshabab au Qaida vipi