Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,009
- 2,197
Kama mnakumbuka miezi kadhaa iliyopita zilitembea rumors kwamba Putin anaumwa siujui ni kansa, wakasema anaumwa sana anakaribia kukata moto wengine walifika mbali Wakasema ameshakufa tusubiri tu breaking news
, tena humu Kuna mdau ndio alikuwa kinara wa kusambaza hizo taarifa huku akithibitsha ni za uhakika.
Sasa habari iliyopo ni kwamba Mkuu wa CIA amesema Putin ni mzima wa afya na hawana taarifa zozote za kiintelejesia za kuugua kwa Putin, hivyo hii habari imekuja kukanusha zile rumors maana wengi walikuwa wanaamini CIA ndio wametoa hizo taarifa.
Ushauri wangu
Muwe mnajiridhisha na usahihi wa taarifa kabla kuzimbaza hili kuepusha hizi aibu ndogo ndogo za kuonekena mropokaji ni afadhari useme flani kasema hivi kuliko mtu anaongea kama yeye ndio secretary wa CIA
, tena humu Kuna mdau ndio alikuwa kinara wa kusambaza hizo taarifa huku akithibitsha ni za uhakika.
Sasa habari iliyopo ni kwamba Mkuu wa CIA amesema Putin ni mzima wa afya na hawana taarifa zozote za kiintelejesia za kuugua kwa Putin, hivyo hii habari imekuja kukanusha zile rumors maana wengi walikuwa wanaamini CIA ndio wametoa hizo taarifa.
Ushauri wangu
Muwe mnajiridhisha na usahihi wa taarifa kabla kuzimbaza hili kuepusha hizi aibu ndogo ndogo za kuonekena mropokaji ni afadhari useme flani kasema hivi kuliko mtu anaongea kama yeye ndio secretary wa CIA