rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
kaka kibonde mimi binafsi nakuheshimu sana kama mmoja wa watanzania wachache wenye vipaji vizuri vya kuvutia watu'mkuu nimekusikilza sana muda huu mfupi inaonekana ulikerwa na yaliyoandikwa hapa last week'mkuu potezea na endelea kupiga kazi mkuu tupo tunakusikiliza''mimi ni msikilizaji no 1 wa kipindi chako'ombi langu naomba sana mwondoe huyo kilaza wasiwasi hafai kukaa hapo kabisa sijui nani alimleta hapo'asante kaka kibonde