Nilikuwepo leo Ipinda sikuona haja ya polisi kupiga mabomu ya machozi.
hebu funguka zaidi mkuu , nini kilitokea ?
Mtahangaika sana mwaka huu, Watanzania waliashaamua RAIS ni Lowassa.
Kamwe hamwezi kutubadilisha kwa propoganda hizi nyepesi nyepesi.
Kale malimao tu mzee, ili siku yako iende vema.
Mtahangaika sana mwaka huu, Watanzania waliashaamua RAIS ni Lowassa.
Kamwe hamwezi kutubadilisha kwa propoganda hizi nyepesi nyepesi.
Kale malimao tu mzee, ili siku yako iende vema.
Acha kututukana Watanzania bana. Hatuwezi kuwa na akili za wavuta bangi eti tumchague Fisadi kwenda ikulu.
Watanzania tuna akili timam bana acha kutudharilisha.
Kama wewe unaakili za kifisadi anza kujiandaa kisaikolojia tar 30/10/2015 itakuwa siku ya huzuni kwako.
Acha kututukana Watanzania bana. Hatuwezi kuwa na akili za wavuta bangi eti tumchague Fisadi kwenda ikulu.
Watanzania tuna akili timam bana acha kutudharilisha.
Kama wewe unaakili za kifisadi anza kujiandaa kisaikolojia tar 30/10/2015 itakuwa siku ya huzuni kwako.
Alianza Said kubenea na hotuba ya ukabila katika jimbo la Kyela, Mkoani Mbeya, kbla ya Edward Lowassa kusema NI ZAMU YA WALUTHERI huko Tabora.
[video=youtube_share;6kwZf1Xfwy8]http://youtu.be/6kwZf1Xfwy8[/video]