Mkutano wa Sugu na Kubenea huko Kyela

Mkutano wa Sugu na Kubenea huko Kyela

Bukanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
2,857
Reaction score
1,937
10610802_828498303914606_8246169472870557503_n.jpg


KILICHOJIRI UWANJA WA MCHAGGA MAARUFU KAMA WA SUGU KWA SASA HIZO NI BAADHI YA PICHA ZA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CHADEMA/UKAWA. ilipostiwa hapa lakini baadhi ya picha hazikuwa na quality

Alikuwepo Sugu, SAED KUBENEA na wengine wengi pia lilikuwapo zoezi la kurudisha kadi za ccm, na kuhamia CHADEMA. pia kwa ufupi kubenea Alitoa Nyaraka kusemea uongo wa Mwakyembe KWA maneno yake Kubenea, alisema dr. Mpotoshaji sio mimi ni yeye alitamka.... ikafuatiwa na mbunge mtarajiwa kunadi sera zake na vipaumbele vyake kama alivyoviainisha


11953242_828498860581217_3017981919333141516_n.jpg

11951765_828498063914630_767897928070474498_n.jpg

11261404_828498147247955_6453584555634382383_n.jpg

11227042_828498503914586_2365131240558080502_n.jpg

11953127_828498710581232_5277625791073282909_n.jpg

 
mwanyamaki kushinda ubunge wa kyela kwa 70% , CC - Mgirik , masonjo na wachumia tumbo wote ndani na nje ya jf .
 
mkuu bukanga unaweza kutuwekea video , kwa manufaa ya jf na dunia nzima , maana hili ni tukio kubwa sana ; huu ndio mwisho wa Mwakyembe na ccm kyela .
 
Yaani tuanze kutafuta link nyingine tofauti na jamiiforums kuona walichofanya Sugu na kubenea!!!! Endeleeni.
 
"Number alwayz dont lie"Hayo ni maneno ya Mh.Sugu bungeni wakati akichangia bajeti ya serikali.Hapa nilimwona kidogo ana akili...ila kitendo cha yeye kuamua okota namber yenye jina la Fisadi papa Lowass ndo nikajua kumbe ata ule msemo aliu-copy na yeye akapaste bila kujua una maana gani?.kama alivyookota number ya mke anaye weka makalio wazi sehemu za umma.
 
Ukiangalia picha kutoka kila kona ya nchi maccm yamekabwa koo. Angalia jana Tabora na leo Kyela halafu unganisha na zile za Kisarawe kwa Kingwendu. Oktoba 25 mbona inachelewa, naona maccm yameishiwa pumzi hata half time bado haijafika
 
Hongereni wana Mbeya, kila la kheri Sugu.
 
Aliyohutubia kubenea hapo ni mazito
 
Wakuu msisahau kuweka na Ujumbe utakaozungumzwa hapo
 
Mimi tayari nina kinjinjio change hapa nasubiri Oct 25 niilaze ccm na kuinjinjilia mbali! Leo wanafanya send Off yao hapa Morogoro
 
Back
Top Bottom